Recent content by kvcm

  1. K

    JamiiForums Tanzania Je Kuna mtu anawaza juu ya umoja wa kitaifa baada ya uchaguzi.

    Leo ndo hitimisho la novena na waislamy Leo wapo diamond jubilee kumuombea raisi ashinde kwa kishindo. . . Acha tuone mwisho wake
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi mume wangu ana watoto wa nje ya ndoa

    Sasa unahisi unamkomoa, Sheria ni moja mwanamke akichiti hata aje na machozi ya damu hakuna msamaha
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je, Usalama wa Taifa kazi yao ni kudeal na CHADEMA pekee? Vipi kuhusu ujasusi wa kibiashara

    Kuna kitu kimoja kama kisipotiliwa maanani ipo siku kama taifa tutapoteza uhuru wetu. Leo biashara kila aina inamkono wa mchina ndani. Yaani wapo kwenye Kila bidhaa wapo sasa hivi wanashusha makontena na makontena je wazawa wafanye kazi gani. Usalama wa taifa kazi yao ni kudeal na CHADEMA...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu mkopo wa nmb

    Nawapataje
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu mkopo wa nmb

    Mauziano ya kiwanja tu serikali ya mtaa
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kuhusu mkopo wa nmb

    Naombeni anayeweza kunisaidia afanye ivo, Mimi ni mjasiriali kwa kweli angalau matokeo nayaona , lakin sasa natamani nichukue mkopo ili niweze kujitanua zaidi . . biashara ina documents zote, tin, leseni , brela , tax cleaarence na parmanent office , pia nina nyumba ipo hatua ya finishing ...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Nani anauelewa juu ya massage centers

    Ushawahi kwenda !?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Swali toka kwa Fatma Karume kwenda kwa watu wa CHADEMA

    Wanasiasa wanapitia magum jaman , em tuwasamehe bure , , ,
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nani anauelewa juu ya massage centers

    Nataman sana nipate mawili matatu juu ya hizi massage centers nan wa kutoa msaada
  10. K

    JamiiForums Tanzania Yanga na teams zote za ligi kataeni huu upuuzi

    habar mm ni mgeni jamii forum nan anaweza nielekeza namna ya kutumia tandao huu
Back
Top Bottom