Dau angezungumzia jinsi gani Mkapa alipambana kutokomeza ukabila na ukanda katika awamu zake zote mbili za uongozi, basi nina hakika uzi huu ungepata wachangiaji wengi ambao wangempongeza Dr Dau kwa kulizungumzia hilo la ukabila, kwa vile ndugu zetu wengi humu wanachukulia ubaguzi ni ile aina ya...
Wale niliosikia waliokotwa ndan ya viroba mtoni walikuwa ni nani? Na vp waliokuwa wanalalishwa saa 12 ya jioni na Panya road nao walikuwa ni nani? Usalama hautizami wadhifa wa mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.