Recent content by kuungutana

  1. K

    Heche anadai Wabunge walilipwa Tsh milioni 272 za pensheni

    Heche hajui kiinua mgongo kinatoka na ukubwa wa mshahara, niliambiwa Heche ni msomi wa chuo kwa nini anashindwa kuelewa ishu ndogo kama hii. Wanajipangia mishahara mikubwa ili waje kujilipa pensheni kubwa daadek!
  2. K

    Rais Samia atakuwa amejifunza mengi Marekani

    Hakika ataacha legacy si kwa Tanzania bali pia Africa yote juu ya uungwana na ujasiri wa mwanamke kuongoza
  3. K

    UZINDUZI: Juzuu la ‘Rai ya Jenerali’ - Agosti 6, 2021

    Kwa hakika maandiko ya Generali yamesheheni ubobevu na umakini mkubwa, si cha kukosa kitabu hiki.
  4. K

    Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

    Sitaki lakini najikuta tu nawaza, kama ingekua wakati uleeeeee hao jamaa wa pembeni wenye Tshirts nyekundu kama wangetoka humo ndani salama kweli?
  5. K

    Mbeya: Mdude Nyagali aachiwa huru na Mahakama baada kutotiwa hatiani katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya

    Sijui kwanini ila nawaza tu, hivi ingekua siku zileeee hao jamaa pembeni wenye Tshirts nyekundu zenye maandishi ya KAT.... wangetoka humo salama kweli? Tumetoka mbali jameni
  6. K

    Mnyika: Ni miezi 5 sasa NEC hawajajibu barua yangu kuhusu walikopata majina ya Wabunge 19 na nani amesaini fomu zao

    Mwakibinga bhana! yaani Chadema Mnyika amepeleka majina na kulazimisha hadi yule dada atolewe gerezani ili awahi kuapishwa kesho yake 😃 😃 😃 😃
  7. K

    Jinsi wasomi wanavyodhalilishwa Bungeni

    Haya ndio madhara ya wataalamu na wasomi wetu kukimbilia siasa na kuacha taaluma zao. Ona sasa wanavyozodoana na wanasiasa wasio wasomi. Wangebaki kwenye taaluma zao vyuoni na kwengineko na kuwaacha wanasiasa katika siasa yasingewakuta haya:D
  8. K

    TANZIA Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad afariki dunia

    Inna lillah wainna illaih rajiuun. Kapumzike Maalim, umetenda kadri ya uwezo wako. Mungu akupe kauli thabit.
  9. K

    BAVICHA: Nusrat alijaza fomu akiwa mahabusu

    Sijui kwa nini napata shida kidogo. well, labda Nusrat alikuwa na uhakika kuwa atatoka kabla ya zoezi la uteuzi na uwapishwaji wa viti maalum halijaisha😃
  10. K

    Unawakumbuka Maccumazan, Inkubbu na Bougwan?

    Uko vema mkuu. Nikumbushe pale mwisho alivyopunga shoka lake na kusema 'wako wapi wanaotaka kupanda ngazi kuu...............nakufa nakufa'
  11. K

    Tetemeko la Ardhi Lushoto

    Tizainuka wedi SKY
Back
Top Bottom