Wewe fikra zako ni za kibinadamu mawazo yke hayako kma wewe unavyofikiria kuwa kulikuwa na haja gani ya YESU kuteswa kwa uwezo wetu wa kibinadamu ni vigumu sana kufafanua hili ila MUNGU yupo na ataendelea kuwepo
hakika mkuu watz watakuwa vichwa maji kma watampa kura jamaa ndani ya mwaka mmoja na nusu tu watalia na kusaga meno na nchi itageuka kuwa ugiriki ya pili...hatakuwepo wa kumlaumu m2 muda huo cuz mliyataka wenyewe
nahic population kubwa ya wananchi we2 ni mashabik pacpo kupima wanachokishabia kitawaingiza shimon na wasijue la kufanya tena...huyu jamaa(lowasa) hana karama ya uongozi kabisa na zaidi huyu ni tapeli hasa...na cku zte nilisema chama chochote kitakachompa ridhaa kuwa mgombea mim nitakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.