Recent content by kush moker

  1. kush moker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimejikuta nina mahusiano na mke wa mtu ila kuna kitu nimejifunza na wengine itawafunza

    Mke wa mtu sumu,sumu,sumu!!!! Yashanikuta!
  2. kush moker

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Mimi ni mwalimu nimepatwa na majaribu nashindwa nivuke vipi

    Mkuu ulijaribu kukimbia kazi afu mishe zikakataa na majanga,pole sana.
  3. kush moker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutongoza wake za watu

    Wake za watu nomaa sana omba isikukute
  4. kush moker

    JamiiForums Tanzania Akutwa amefariki dunia ndani ya gari lake uwanja wa fisi

    Wake za watu washaniweka matatizoni right now
  5. kush moker

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa ufugaji wa ng'ombe

    Shukrani mkuu kwa mchango wako imekaa vizuri nawaza labda niongeze dume wawe wawili wawili
  6. kush moker

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa ufugaji wa ng'ombe

    Habari za wakati huu wanajukwaa. Ninataka kufanya ufugaji wa ng'ombe wenye tija ila niko njia panda kuhusu wapi kuna faida zaidi kati ya kufuga ng'ombe dume au majike. Nilihitaji kuanza na ndama watatu ambao sio wale wa kienyeji kabisa bali chotara kiasi. Hapa nipo njia panda nichukue ndama...
  7. kush moker

    JamiiForums Tanzania Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba

    Mkuu nipe iyo connection apo mwanza
  8. kush moker

    JamiiForums Tanzania Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba

    Kivipi Mkuu hapo sijaelewa,
  9. kush moker

    JamiiForums Tanzania Utajiri uliojificha kwenye viatu vya mtumba

    Mkuu ivi nikitaka kuuza viatu ivi kwa kuzungusha kwenye minada(hasa minada ya vijijini),natakiwa nichukue viatu kwa kupoibt au kwenye kiroba? Innocent Kirumbuyo
  10. kush moker

    JamiiForums Tanzania Karibuni kwa huduma zote za ujenzi

    Nyumba ina ukubwa gani iyo kwenye picha?
  11. kush moker

    JamiiForums Tanzania Mradi Ng'ombe wa Asili

    Ongezea nyama hapa Mkuu tafadhali
  12. kush moker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man city anashinda mwwnye salio akampe live sasaivi
  13. kush moker

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kama nani?
  14. kush moker

    JamiiForums Tanzania Mtaani kwako Bajaji inalaza bei gani kwa siku?

    Natak niingie kwenye boda na TVs domo la mamba Wazoefu ulaji wake wa mafuta ukoje
Back
Top Bottom