Recent content by Kus Kas Pole

  1. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Hata sisi walimu pia hatupendi kusoma, ukipiga kozi yako moja basi umemaliza, ualimu wa mpira ni kusoma kila uchwao maana mambo ya technology yamekuja badili vitu vingi. Safari bado ndefu ila kila mmoja wetu afanye anachoweza kusaidia kusukuma hili swala tunaweza sogea kiasi.
  2. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Hii ni project kwa wapenda soka, au kama na ww mdau upo vzur kuwekeza tafuta qualified coaches tukuze mpira wa bongo. Mwanzo utatumia sana pesa yako ila baada ya muda utarudisha gharama zako na taifa litafaidika pia.
  3. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Kwenye hilo shaka ondoa, kila mtoto ana ujazo wake kulika na umri wake. Elimu ya coaching ni kweli changamoto kwa bongo na Afrika nzima. Ila tutafika tu, saiv makocha vijana wameanza kuwa wengi.
  4. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Unapata mkuu, unachofanya ni kumix talented who can pay and ambao hawez kulipa. Na sisi tuna project za mtaan ambazo tuna train watoto wa mtaan ambao hawez kuafford viwanja kama ivyo. Tunafanya nao session za after school na haijalishi awe anajua sana au kawaida lengo apate kwanza basics...
  5. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Cha muhimu ni malengo tu, changamoto tu ni kwamba Tanzania miundombinu shida, viwanja vizur ni gharama sana.
  6. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Unachosema kipo sahihi mkuu, kwa US gharama ilikua inaenda mpaka USD 100k, ila kama una nafasi nakukaribisha Masaki Sports park, ukija utaweza kujiridhisha na kuelewa vizuri kuhusu hii project. Tukabadilishana na maono mbali mbali kuhusu soka.
  7. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Pitch ni artificial kwa io gharama za kukodi uwanja zipo juu. Ila ni mazingira sahihi sana kumuandaa mtoto kisoka.
  8. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Ni kweli mkuu, ndo mda na sisi tupambane na haya mambo badae tuwe tunaangalia Taifa Stars kwenye international tournaments ikifanya vizuri.
  9. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Habari wana Jamii Forums. Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy. Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka. Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki. Tunafanya session za watoto kwa ratiba...
  10. K

    Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

    Habari wana Jamii Forum. Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy. Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka. Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki. Tunafanya session za watoto kwa ratiba ifuatayo...
  11. K

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kusomea urefa

    Kwa upande wa soka/football nenda Makao makuu ya TFF pale Karume. Ukifika pale kuna ofisi za Chama cha Marefa Tanzania watakupa utaratibu wote. Usiende mapema sana maana zinachelewa kufunguliwa.
  12. K

    Naomba connection kupata suppliers kutoka Dubai

    Mkuu unawezaje kufanya manunuzi 1688 maana naona ni kichina tu.
  13. K

    Ni biashara ipi ndogo sana uliifanya ikakufikisha kwenye mafanikio makubwa?

    Mkuu unaweza shusha nondo kwenye io biashara ya kukopesha. Shukrani
Back
Top Bottom