Hata sisi walimu pia hatupendi kusoma, ukipiga kozi yako moja basi umemaliza, ualimu wa mpira ni kusoma kila uchwao maana mambo ya technology yamekuja badili vitu vingi.
Safari bado ndefu ila kila mmoja wetu afanye anachoweza kusaidia kusukuma hili swala tunaweza sogea kiasi.
Hii ni project kwa wapenda soka, au kama na ww mdau upo vzur kuwekeza tafuta qualified coaches tukuze mpira wa bongo.
Mwanzo utatumia sana pesa yako ila baada ya muda utarudisha gharama zako na taifa litafaidika pia.
Kwenye hilo shaka ondoa, kila mtoto ana ujazo wake kulika na umri wake.
Elimu ya coaching ni kweli changamoto kwa bongo na Afrika nzima.
Ila tutafika tu, saiv makocha vijana wameanza kuwa wengi.
Unapata mkuu, unachofanya ni kumix talented who can pay and ambao hawez kulipa. Na sisi tuna project za mtaan ambazo tuna train watoto wa mtaan ambao hawez kuafford viwanja kama ivyo. Tunafanya nao session za after school na haijalishi awe anajua sana au kawaida lengo apate kwanza basics...
Unachosema kipo sahihi mkuu, kwa US gharama ilikua inaenda mpaka USD 100k, ila kama una nafasi nakukaribisha Masaki Sports park, ukija utaweza kujiridhisha na kuelewa vizuri kuhusu hii project. Tukabadilishana na maono mbali mbali kuhusu soka.
Habari wana Jamii Forums.
Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy.
Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka.
Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki.
Tunafanya session za watoto kwa ratiba...
Habari wana Jamii Forum.
Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy.
Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka.
Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki.
Tunafanya session za watoto kwa ratiba ifuatayo...
Kwa upande wa soka/football nenda Makao makuu ya TFF pale Karume. Ukifika pale kuna ofisi za Chama cha Marefa Tanzania watakupa utaratibu wote. Usiende mapema sana maana zinachelewa kufunguliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.