Tangia nimejiunga jf leo ndyo nimeshuhudia post ya hovyo kuliko na kutoka kwa foolishness like you.
mtu mwenye akili timamu hujui hata majukumu ya mbunge?dira ya Chadema so kuwachangisha wanachi ispokua mbunge asimamie fedha za wanachi ktk kujiretea maendereo na dira ya ccm yenu ni michango...
Unaakili ndogo mithiri ya punje ya haladini,nenda kafungue kamusi ya kiswahiri upate tafsili ya ufsadi kisha ujiulize mwenyewe je mfanyabiashara was kitanzania ni haramu kuwekeza nje ya nchi?je kama mfanyabiashara anewekeza Dubai,wingereza,Uganda,Kenya,south Africa na kwingine ni dhambi kumiliki...
Awadh Samuel Kiwelu
Chadema kushughurika na act ni sawa kama vile yanga,simba na azam washindwe kupata ushindi kisa eti timu ya ndanda fc inafanya mazoezi makali.
ACT imefanya nini? watu wanaenda kuangalia mazingaombwe ya ---------.
Rudia kuiandika mada yako upya,na utambue utofauti wa hati chafu na hati yenye mashaka,hakuna chama kilipata hati safi na chadema walipata hati yenye mashaka.Mwisho jaribu kuuliza ujue hati chafu ama hati yenye mashaka haipatkani kwa kula au kuiba pesa ,ispokua unaweza kupata hati chafu hata kwa...
Huyu kijana hajielewi ni nusula ya mwehu,anatafta kick kwa nguvu,wajanja tulisha mjua ni mfuwasi wa zitto hivyo zit to kwake ndio Alfa na omega kwenye siasa.
Viongozi wake wanafanya vikao kwa pamoja wabakubariana nini wafanye cha ajabu haka kamjamaa kana lipuka tu bila mpango,kanasema kwa...
Unawezaje kutukana mzazi wa mtu kisa kamtaja lowasa kipenz chako?kwani kakosea nini kwenye hoja yake?nini ambacho kakisema kwa kumsingizia lowasa?
kuna haja ya watanzania kujitafakari sana,unawezaje kujenga matumaini kwa mtu muovu?amekutendea wema gani hadi usahau uovu wake mapema hivyo?kama...
Inaniuma sana kumwona kijana anakurupuka from kaburini hajui madhara ya utawala wa ccm,anacoment upuuz tu pengine hana baba ni waziri wala Katibu mkuu,pia siamini kama ana mtoto anasoma ktk shule ambayo haina madawati haina choo walimu wanashida ya chaki.
Maneno hayo yanaweza kuungwa mkono na hayawani tu na sio watu waliotimamu,maamuz ya kijinga siku zote ndani ya bunge huamliwa kwa wingi wa kura,sasa kama ungekua unajitambua ungewalaamu mahayawani wenzako kwani ndyo wahuska.
Akili zako za kuazima kamwe haziwezi kusitiri kichwa chako,hujielewi wala hujitambui ni shiiiiiida kwani unautaka wenyekiti wa chadema?mbona hukugombea nafasi hyo?au raha yako ni mbowe kutokugombea?
hujielewi kwani zitto history yake ilitengenezwa na nani? na leo yuko wapi?jaribu kutafakari jambo kabla ya kuandika,enderea kuwa mfuwasi wa mtu kwa misingi ya kikabira,mwakeye poti?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.