Recent content by kuroiler

  1. K

    MSAADA KUHUSU Symantic backup exec

    Habari za jioni, Wadau nahitaji solution ya automatic backup, ila sina uzoefu wa namna inavyofanya kazi
  2. K

    Natafuta fundi mzuri wa AC Dar

    Thanks brother
  3. K

    Natafuta fundi mzuri wa AC Dar

    Thanks brother
  4. K

    Natafuta fundi mzuri wa AC Dar

    Habari wadau naomba msaada wa mawasiliano wa fundi mzuri wa AC za magari
  5. K

    Msaada: wataalam wa computer

    Jaribu kucheki battery, Kwa kiasi kikubwa inaweza kuwa imekufa ndo maana haichaji
  6. K

    Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

    Hahaha unanitamanisha mkuu mimi nina Phantom Z, naitamani Phantom 6+,jamaa wako vzur tatzo watu tumekalili na kuamini ukiwa na Samsung au iPhone wewe ndo mjanja wakati ni mateso tuu mda wote power bank
  7. K

    Tecno Tecno Tecno Ni janga la Taifa.

    Nenda ofisi zao pale, samora nhc house, Kama bado ipo kwenye warranty wakutengenezee, hakuna kifaa cha electronic kilicho perfect, cwez acha kutumia tecno. I'm a die hard fan of them
  8. K

    Msaada kuhusu gharama za upasuaji MOI

    Naomba kuuliza gharama za upasuaji wa Mifupa MOI ikoje Kuna bro wangu alitibiwa kienyeji sasa mfupa unaunga vibaya, hivyo anapaswa kuvunjwa na kuungwa upya
  9. K

    Swali kuhusu mbegu za kiume

    Hahaha mbegu mda wote zikitoka kiwandani (korodani) zinakua zimeshakomaa
  10. K

    Tigo wameanza kukata VAT ukinunua salio kwa tigo pesa

    Elimu, Elimu Elimu tutaelewa taratibu tatzo watu wamezoea kuponda na kulalamika hata Kama ni jambo jema Kwa faida ya mama Tanzania
  11. K

    Tujadili simu hii mpya ya TECNO

    Hahaha achana na Tecno endelea kutumia guluneti
  12. K

    MSAADA NAMNA YA KUTUMIA PRTG MONITORING TOOL

    Habari za weekend wanajamvi, mi ni network administrator katika taasisi ya serikali,napata changamoto ya network& bandwidth monitoring, nimejaribu PRTG na Nagios ambazo ni free ila changamoto ni setup yake. Mwenye uelelewa anisaidie
  13. K

    Zitto alivyopania Kigoma Ujiji iwe Halmashauri ya mfano

    Hiyo ni mipango ya miaka 5,walau ukubali hata juhudi za mipango hiyo wakati resources are mobilized, huo ndo uungwana, we mwenyewe na familia yako kuna mipango kibao inakwama
  14. K

    Shamba La Kupanda Miti ya mbao linauzwa

    Shamba la kukodi, huwezi otesha mimea ya kudumu kama miti, hiyo itakua ni bei ya kununua
Back
Top Bottom