Logically huu ni uquma, how comes maandamano hayana kiongozi Wala ajenda? Siipendi CCM pamoja na viongozi wote wanaotokana na hicho chama,
Ila tunafanya ujinga sana kuhalalisha kile maCCM walichofanya Oct 29, kiongozi wa maandamano ni nani ajenda yetu ni ipi ila tunaiwasilishaje? Huu UNGESE...
Very logical, hizi historical churches, pamoja na hizi makanisa za akina mwamposa na wenzake wanahisi wao ndo wameanza kumjua MUNGU,
Catholic is over everything kuhusu Imani ya kikristo pamoja na uislamu
Mwezi wa 5 nilikuwepo hapo, kuna domitories njoss zilikuwa zinaitwa mabanda ya njiwa (ghorofa) nilizikuta zimeboreshwa Sana
Kimsingi shule inapendeza Sana kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.