Hamna kichomi Bob, Simba ni mbovu ktk mechi zoote ilizocheza msimu, Sisi watu wa figisu tunajazia tu
Na tutaendelea kuwavuruga Sana. Ubovu wao + figisu zetu Hali itakuwa mbaya Zaidi
Sasa huo usawa utapatikana vipi Kwa huu mtifuano unaoendelea Kati Yao wenyewe?
Hawa Wana mda mrefu Sana wa kuelewana, Sisi kazi yetu NI kuchochea kuni tu Hali iwe mbaya zaidi
Hongera zenu Kwa kupata tuzo ya kijinga Sana tena ktk mechi moja tu
Hii inawakumbusha kwamba mnacho kikosi Bora cha kushangilia kuliko kikosi cha kushinda Mechi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.