Recent content by kupukupu

  1. kupukupu

    Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

    Wafe tu, wakifa huo ni ujinga wao, hautuhusu sisi
  2. kupukupu

    Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

    Hamna kichomi Bob, Simba ni mbovu ktk mechi zoote ilizocheza msimu, Sisi watu wa figisu tunajazia tu Na tutaendelea kuwavuruga Sana. Ubovu wao + figisu zetu Hali itakuwa mbaya Zaidi
  3. kupukupu

    Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

    Na huo ndio utaratibu Bora zaidi kutumia ili kumuangamiza mpinzani wako
  4. kupukupu

    Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

    Sasa huo usawa utapatikana vipi Kwa huu mtifuano unaoendelea Kati Yao wenyewe? Hawa Wana mda mrefu Sana wa kuelewana, Sisi kazi yetu NI kuchochea kuni tu Hali iwe mbaya zaidi
  5. kupukupu

    Mjadala: Je, Tuzo ya Mashabiki tuliyopata Wanachama wa Simba ina maana gani?

    Hongera zenu Kwa kupata tuzo ya kijinga Sana tena ktk mechi moja tu Hii inawakumbusha kwamba mnacho kikosi Bora cha kushangilia kuliko kikosi cha kushinda Mechi.
  6. kupukupu

    Tetesi: Wachezaji watano wa Simba wasimamishwa kupisha uchunguzi kwa kichapo kikali cha goli 5 kutoka kwa Yanga

    Haya majamaa ujinga wao ni wa kiwango cha juu Sana. Niamini mimi
  7. kupukupu

    Tetesi: Wachezaji watano wa Simba wasimamishwa kupisha uchunguzi kwa kichapo kikali cha goli 5 kutoka kwa Yanga

    Mlitakiwa mpigwe zaidi ya goli 9 Ila zikawa 5 zingefika hata 8 tu si mngefukuza Hadi wanachama wenu mMbwa nyie!!?
  8. kupukupu

    Jirani anataka kujenga nyumba Yake Kwa kutumia fensi yangu

    Huyo jamaa mijnga tu, aje sumbawanga Majumba sita aone watu tulivyojenga. Hakuna chochoro za kijinga
  9. kupukupu

    Chakula au vitu gani huwezi kuacha kula hata kama ukiwa Bilionea?

    Kande, parachichi na chapati Niuenii
  10. kupukupu

    Nataka ninunue Pikipiki ila nahisi haitokuwa yangu

    Inaonekana na ww ndo Tabia yako Kuazima azima, Acha Kuazima vya watu kabla hujanunua hIyo pikipiki, watajishtukia hawawezi Kuazima ukinunua yako
  11. kupukupu

    Kama tetesi hizi ni kweli viongozi Simba mtaharibu!

    İtakuwa na mnafunza kichwani mzee, sio bure
  12. kupukupu

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Huyu jamaa niliwahi kutana nae maeneo ya kantalamba sekondari sumbawanga mjini, namfahamu vizuri
Back
Top Bottom