Acha kusifia uovu,pensa mema ndugu yangu
Wakolosai 3
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu.
1 Petro 2
1 Basi, wekeni mbali uovu wote na hila yote, na unafiki na husuda na masingizio yote.
12 Mwe na mwenendo mzuri kati...