Kwanini awamu hii umeme unakatika sana?

Kwanini awamu hii umeme unakatika sana?

Blackafrica

Senior Member
Joined
Jun 26, 2021
Posts
140
Reaction score
401
Hili ni swali fikilishi ambalo unaweza kujiuliza mwananchi, maana hii sasa ni too much, hivi serikali imeshajitokeza na kusema sababu zinazosababisha umeme kukatika mara kwa mara iwe ni usiku iwe ni mchana haiwezi kupita zaidi ya siku mbili umeme usikatike very sad, hii nchi wananchi mazuzu sana tumeridhika nahisi kukatika kwa umeme huku kila wakati
 
Hili ni swali fikilishi ambalo unaweza kujiuliza mwananchi, maana hii sasa ni too much, hivi serikali imeshajitokeza na kusema sababu zinazosababisha umeme kukatika mara kwa mara iwe ni usiku iwe ni mchana haiwezi kupita zaidi ya siku mbili umeme usikatike very sad, hii nchi wananchi mazuzu sana tumeridhika nahisi kukatika kwa umeme huku kila wakati
Waziri wa nishati anafahamiana na rais,hawezi ulizwa kitu walikuwa wizara moja mika ya nyuma
 
Hili ni swali fikilishi ambalo unaweza kujiuliza mwananchi, maana hii sasa ni too much, hivi serikali imeshajitokeza na kusema sababu zinazosababisha umeme kukatika mara kwa mara iwe ni usiku iwe ni mchana haiwezi kupita zaidi ya siku mbili umeme usikatike very sad, hii nchi wananchi mazuzu sana tumeridhika nahisi kukatika kwa umeme huku kila wakati
Huo umeme unakukatiaga wapi? Ukukatikie wewe kwa makubaliano yenu then uje utuambie sisi? Siyo sahihi hata kidogo.
 
January ni rafiki kipenzi wa Hangaya.hawezi kufanywa lolote
 
Huo umeme unakukatiaga wapi? Ukukatikie wewe kwa makubaliano yenu then uje utuambie sisi? Siyo sahihi hata kidogo.
Wewe unalelewa na shemeji,umeme ikikatika huwa hujui mala wanapowasha sola,hivyo siyo kosa lako.
 
Maji yamepungua, wanafanya ukarabati wa mitambo kwasababu haikufanyiwa matengenezo kwa miaka mitano, wakata matawi ya miti kwenye line kuu, hitilafu za mvua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hili ni swali fikilishi ambalo unaweza kujiuliza mwananchi, maana hii sasa ni too much, hivi serikali imeshajitokeza na kusema sababu zinazosababisha umeme kukatika mara kwa mara iwe ni usiku iwe ni mchana haiwezi kupita zaidi ya siku mbili umeme usikatike very sad, hii nchi wananchi mazuzu sana tumeridhika nahisi kukatika kwa umeme huku kila wakati

Mzee baba miaka mitano huu ujinga haukuepo !! Magufuli alikua mwamba
 
Yaan inasikitisha Sanaa
Mfano mtaa mm ninao ishi Kila siku iendayo kwa Mungu lzm umeme ukatike yaan every day

Yaan at Kama NI hujuma bac hii noma
 
Back
Top Bottom