Recent content by kunzila

  1. K

    Je, ni kwanini wenye magari hung'ang'ania kuvuka kwenye kivuko badala ya kutumia daraja la Nyerere?

    Darajani barabara ya Bp inakuwaga na foleni jioni wanaita njia moja,na ukimaliza daraja upande wa kigamboni njia mbaya mno mbali na hapo sijaona shida nyingine ya kupita darajani
  2. K

    Kantangaze Bank. Hii Bank usichukue Mkopo Mtaani kwenu wote watajua.

    Hiyo bank haifai kukopa kabisa hawana kauli nzuri kwa wateja hata uchelewe masaa ni inshu
  3. K

    Sababu tano za kufa kwa Bongo movie

    Siasa imeuwa bongo move wamejichanganya na tamaa zao zao zimewagawa wananchi,
  4. K

    Hili la Nape kupita kwenye migongo sio udhalilishaji kwa Mama zetu?

    Aliwaambia walale awakanyage? Au ukereketwa wao
  5. K

    Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

    Kama vile ana bifu na wananchi aisee, hivi usipoingia kwenye mitandao ukapiga kimya ukafanya majukumu yako ya mitandaoni utayajuaje, aendelee na Tanzania ya viwanda
  6. K

    Nape Nnauye kuongea na wanahabari

    Kweli ww muoga tunajenga taifa la watu waoga Bila kuhoji tutapelekwa sana, go Nape kwenye ukweli simamia ukweli [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
  7. K

    Exclusive: Askofu Gwajima atoa cheti chenye matokeo ya kidato cha nne ya Daudi A. Bashite (Makonda)

    Hao ccm wametimiza ahadi gani kwa wananchi? Inshu ya bashite hadi ccm wenyewe inawakera tena ndiyo wanaongoza kwa kuhoji ila kwa kificho wanatetea tonge, Nchi ya matukio hii tena yanaanzia ccm mengi
  8. K

    Waziri Mwijage akana kuhusu kuizungumzia video ya Clouds inayosambaa

    Anaogopa kumuongelea junior officer na ujumbe wake umesambaa asije tumbuliwa yy
  9. K

    Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

    Hii habari yao imekataliwa kila ninapopita kusoma comments za watu, lile le tumboooz limeipost pia hawaoni aibu duuu
  10. K

    Mwanamama kupitia Uhuru FM, adai kuzalishwa na Askofu Gwajima na kutelekezwa!

    Huyo dada kahojiwa na shilawadu wale Wa mawingu, anajikanyaga tu kamezeshwa maneno, eti aliniomba nimzalie sasa si ndiyo katimiza ahadi,
  11. K

    Kwa mlio na matarajio makubwa kwa TLS ya Tundu Lissu, waulizeni wana Ikungi

    Jimboni wanalalamika lkn kila uchaguzi anapita kwa kishindo why wasiwape ccm wawaletee maendeleo [emoji15]
  12. K

    Anachofanya Kibonde wa Clouds FM ni hatari kwa redio hiyo

    Ngoja nimtag gwajima huu uzi aipitie ili jpili amchane kibonde[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. K

    Anachofanya Kibonde wa Clouds FM ni hatari kwa redio hiyo

    Huyu kibonde asitafute bifu na gwajima kabisa bora anyamaze na aombe gwajima asimsikie Labda anataka kiki kutoka kwa gwajima, vijana wa siku Hizi wanaita kiki na atapata
  14. K

    Aina ya viongozi wa nje wanaoitembelea Nchi yetu awamu hii inasononesha

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nacheka kwa uchungu Nchi yangu Tanzania
Back
Top Bottom