Binafsi sikushauri umuache mkeo kwanza inakupasa uelewe kwamba mwanamke anapokuwa mjamzito siku zote haswa anapokuwa anakaribia kujifungua huwa wanakuwa na hasira sana hilo lak wanza ulielewe na hapo anapomjibu mbovu Mama yako jua sio akili yake zile ni hasira nakueleza hivi hata mimi binafsi...
ni kweli kabisa inahitajika wananchi tuwe macho kwamaana hawa jamaa hawana nia njema na wao walishasema kuwa watahakikisha nchi hii haitawaliki na ndo utakuwa wanawalisha sumu ili waje kuwa magaidi wa baadae mwisho wa siku nyie mnao wapa support ndo mtakuwa wa kwanza kuathirika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.