Wacheni majungu yenu bana, huyo jamaa ni jembe hapo TFF, amedhibiti mianya yote ya upigaji pesa TFF labda hilo ndo linalomfanya kuwa na maadui wengi sasa.Watanzania tubadilike jamani! Shutuma za kila siku zisizo na msingi hazitusaidii
Ulitaka aandike upuuzi wake halafu aachwe tu! Kumbuka kila kazi ina miiko yake mjomba, nchi haiwezi kupelekwa pelekwa kila mtu afanye anavyotaka lazima pawepo na dicipline.
Hadhihakiwi ki vipi sasa, sema hilo dukuduku lako dhidi ya mh Ndugai kafanyaje?hizo kelele za huyo mungu wenu aliyelalamika kunyimwa mshahara imekuwaje analalamika vitu asivyokuwa na ushahidi navyo? Hivi huyu ni mtu wa namnagani?
Naomba mnijuze wakuu, nimefunga solar power nyumbani kwangu halafu nineweka invetor kwaajili ya kuubadilisha umeme kutoka DC to AC, ile nyumba ya uwani umeme wake natumia DC na huu wa AC natumia kwa nyumba ya mbele kwa kuwasha TV ya 'in' 32 ya kawaida siyo ya solar. "Ninachotaka kujua naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.