Recent content by Kunguru wa kufugwa

  1. Kunguru wa kufugwa

    Wanafunzi waacha shule na kwenda kufanya kazi za ndani kutokana na michango kuwa mingi mashuleni

    Michango imerudi kwa kasi sana katika shule za msingi na sekondari pia, ikiwemo pesa ya taaluma, ulinzi, masomo ya jioni, mitihani ya jumamosi, rimu n.k.. Sasa ningependa kuuliza elimu bure inakuwaje? kama wanafunzi wanatozwa pesa kubwa tena zaidi ya miaka hiyo ilipokuwepo ada. USHAURI: KAMA...
  2. Kunguru wa kufugwa

    Kwanini wadada wengi siku hizi wanazaa bila kujulikana baba wa mtoto?

    Wadada huwa wanazalishwa na kutelekezwa kwa sababu hawa wadada huwa wanashindwa kujua mwanaume yupi ni mkweli na yupi ni muongo, kwa maana kwamba mdada akifuatwa na mwanaume na akaahidiwa ndoa na maisha mazuri huwa anamuamini huyo mwanaume hata kama ni muongo. NB: Wadada wengi kuwa na watoto...
  3. Kunguru wa kufugwa

    Humphrey Polepole: Bandari ya Bagamoyo sio muhimu kuliko Bandari ya Dar na Tanga

    Maswali mengi aliyoulizwa ameshindwa kuyajibu mifano katiba imeruhusu mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa..kwa nini wao kama chama na serikali wanazuia??, ujenzi wa bwawa la umeme upo kwenye ilani ya CCM? Ila mwishoni alimaliza kwa kujibu vizuri swali la katiba mpya itengenezwe au...
  4. Kunguru wa kufugwa

    Legacy inapoyeyuka mithili ya jibini juani

    Anha kumbe hili suala lipo kwenye ilani ya CCM.
  5. Kunguru wa kufugwa

    Legacy inapoyeyuka mithili ya jibini juani

    Mwendazake na aliyepo sasa wana mitazamo tofauti kabisa, yaani huyu wa sasa anapingana na mambo aliyoyafanya mwendazake..mfano ni hili la wanafunzi kupata ujauzito.
  6. Kunguru wa kufugwa

    Watanzania zindukeni, Taifa linazama

    USHAURI KWA MAMA WA KAYA: Ajitahidi sana kuongoza kaya kwa kuwathamini wanakaya anaowaongoza, na sio kuwaumiza wanakaya kwa kisingizio cha kukuza uchumi.
  7. Kunguru wa kufugwa

    Kiongozi, wathamini unaowaongoza

    Kiongozi bora ni yule anayewathamini watu anaowaongoza na si vinginevyo. Kumekuwepo na baadhi ya viongozi wasiowathamini watu wanaowaongoza, wanawaumiza watu kwa kisingizio cha kukuza uchumi. Kupanda gharama za vitu hovyo hovyo, kodi kubwa zinazowaumiza watu, kukosekana kwa huduma za kijamii...
  8. Kunguru wa kufugwa

    Makamba: Gesi ya Mtwara kuanza kuchimbwa 2025

    Ni jambo zuri tuchimbe gesi..hatimaye tupate umeme wa uhakika nchi nzima.
Back
Top Bottom