Nimeunganisha maji tangu dec 2017 ila sijawahi pata maji hata siku moja.
Nimeshangaa leo nimeletewa bili na deni eti nadaiwa 53,000 sasa sielewi ni la nn maana hela ya kuunganishiwa maji nililipa na maji hayajawahi kutoka tangu kipindi kile.
Sasa sielewi bili na deni ni la nn
Gvnt intervention iko kwe level ya kuregulate market mkuu.hapa principle ya demand and supply ndo ina apply..kama commodity ni scarce serikali iangalie namna ya ku counter scarcity in a long run na sio kusolve tatizo leo then kesho tunaanza kutafuta mwingine alie na stock.kwenye biashara mwenye...
Mimi nimekuwa nikishiriki kongamano la maombi dodoma ambalo mwl. Mwakasege na mama Diana huliongoza kuombea taifa.kwenye mafundisho yote hamna mahali utahisi anashabikia chama wala mgombea bali huombea taifa.hata kwenye seminar ya sasa ndo anachofanya,,epuka dhambi kumsema vbaya man of God
Habari za asubuhi wanajamvi.natumai weekend ilienda
vizuri na leo tunawajibika kama kawaida.
Kwenye pitapita zangu weekend hii nkakutana na hili swali kutoka kwa msichana m1 rafiki yangu.hivi ni nini/tabia gani ambazo zitakufanya umwache/ufikirie kumwacha wife/gf wako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.