Recent content by kundii

  1. K

    Siri iliyopo kwenye Vikalio vya mwanaume

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  2. K

    Ukweli kuhusu kile kinachoitwa Chunusi

    Mshana utaacha lini uchawi bro[emoji23]
  3. K

    Nifanyaje mtu anaponitukana kwenye simu?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  4. K

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Nimeunganisha maji tangu dec 2017 ila sijawahi pata maji hata siku moja. Nimeshangaa leo nimeletewa bili na deni eti nadaiwa 53,000 sasa sielewi ni la nn maana hela ya kuunganishiwa maji nililipa na maji hayajawahi kutoka tangu kipindi kile. Sasa sielewi bili na deni ni la nn
  5. K

    Daktari wa magonjwa ya wanaume Dar es Salaam

    Yah aende agha khan kwa akhbr
  6. K

    Kwenye hili la sukari Rais wangu sikuungi mkono, uchumi ni kanuni siyo amri!

    Gvnt intervention iko kwe level ya kuregulate market mkuu.hapa principle ya demand and supply ndo ina apply..kama commodity ni scarce serikali iangalie namna ya ku counter scarcity in a long run na sio kusolve tatizo leo then kesho tunaanza kutafuta mwingine alie na stock.kwenye biashara mwenye...
  7. K

    Mahubiri ya Mwalimu Mwakasege - UDSM

    Mimi nimekuwa nikishiriki kongamano la maombi dodoma ambalo mwl. Mwakasege na mama Diana huliongoza kuombea taifa.kwenye mafundisho yote hamna mahali utahisi anashabikia chama wala mgombea bali huombea taifa.hata kwenye seminar ya sasa ndo anachofanya,,epuka dhambi kumsema vbaya man of God
  8. K

    ni nini kinachokufanya uachane na gf wako?

    Habari za asubuhi wanajamvi.natumai weekend ilienda vizuri na leo tunawajibika kama kawaida. Kwenye pitapita zangu weekend hii nkakutana na hili swali kutoka kwa msichana m1 rafiki yangu.hivi ni nini/tabia gani ambazo zitakufanya umwache/ufikirie kumwacha wife/gf wako?
  9. K

    Jifunze Makosa haya Katika Mapenzi toka kwangu

    hahahahahah.hii kali,,hujamsikia dulayo nini!!
Back
Top Bottom