Recent content by Kumfumaster97

  1. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Wachezaji Argentina wagoma kupeana mikono na Trump

    Sijaona cha maana hapo
  2. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Umeona hapo mkuu
  3. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ipo mkuu
  4. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Swali zuri sanaaa
  5. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Unatetea ujinga somehow mdada kasema hampendi mshikaji na kingine anasema kwamba mwanaume alikuwa na mke how come ?mwanamke anatamaa sanaa hakika matokeo yake ameyaona na hii ni kwa wanawake wote kama humpendi tembeza kwato kwingine acheni hizo mbanga za kula pesa za usimpenda na huna future nae .
  6. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Huyo mwanamke alivyomaliza chuo huenda alitoa majibu ya shombo na kama alimkataza kulipia ada baada ya kuombwa control namba kwanini zile pesa za mzazi wake za ada kwanini asizitume moja kwa moja kwa jamaa
  7. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mary Claire: Sikumlazimisha anilipie ada na sikujua kuwa ameoa

    Swadakta jamaa alikuwa ananunua mapenzi sio akili zake anaendeshwa na hisia ila pamoja na hayo inaonekana mwanamke alikuwa na majibu ya shombo kwa mwanaume ndio maana yametokea yote hayo.
  8. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Biashara ambazo huwezi toboa kamwe!

    Kama tulivyoongea kikao cha mwisho hakuna kuoa kama bado unajitafuta
  9. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada mimba ya 5 sasa inatoka

    Umeenda hospital au duka la dawa mkuu ?
  10. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Nahisi kizazi changu kina tatizo madokta nisaidieni

    Subiri kidg nitaweka kikao na wewe
  11. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mourinho: Mechi ya Misri na Argentina ilikuwa filamu

    Sasa ya ureno na spain ni comeback 👀loophole
  12. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mourinho: Mechi ya Misri na Argentina ilikuwa filamu

    Bado hujaelewa kitu tunachobishana
  13. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mourinho: Mechi ya Misri na Argentina ilikuwa filamu

    Kawaida nini umeelewa hata nilichokuwa nalitolea ufafanuzi
  14. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mourinho: Mechi ya Misri na Argentina ilikuwa filamu

    Kawaida nini umeelewa hata nilichokuwa nalitolea ufafanuzi
Back
Top Bottom