Unatetea ujinga somehow mdada kasema hampendi mshikaji na kingine anasema kwamba mwanaume alikuwa na mke how come ?mwanamke anatamaa sanaa hakika matokeo yake ameyaona na hii ni kwa wanawake wote kama humpendi tembeza kwato kwingine acheni hizo mbanga za kula pesa za usimpenda na huna future nae .
Huyo mwanamke alivyomaliza chuo huenda alitoa majibu ya shombo na kama alimkataza kulipia ada baada ya kuombwa control namba kwanini zile pesa za mzazi wake za ada kwanini asizitume moja kwa moja kwa jamaa
Swadakta jamaa alikuwa ananunua mapenzi sio akili zake anaendeshwa na hisia ila pamoja na hayo inaonekana mwanamke alikuwa na majibu ya shombo kwa mwanaume ndio maana yametokea yote hayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.