Recent content by Kumfumaster97

  1. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Kupatikana tena kwa jukwaa la JamiiForums nchini Tanzania - shukrani kwa uongozi wa JF

    Hameni huko kwenye laana kibao mnabeba nuksi tu chama ambache kina maovu lukuki cha nini cocastic
  2. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Una kichwa kigumu kuelewa kazi ya roho mtakatifu
  3. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania TEC yaahirisha kongamano la Kitaifa la Utoto Mtakatifu, sababu ikiwa ni “alama za nyakati”

    Unajua kazi ya roho mtakatifu je unafikiri kujua mema na mabaya ni rahisi bila ya kuwa na roho mtakatifu ,think twice
  4. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Kupatikana tena kwa jukwaa la JamiiForums nchini Tanzania - shukrani kwa uongozi wa JF

    Tlaatlaah ,cocastic ninyi nimegundua ni mboga mboga
  5. Kumfumaster97

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Kununua Hayana Amani Kama Kuwa na Mke Wako

    Anamaliza miti ,analeta jangwa 🤣🤣🤣
  6. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeanza kuamini ule msemo wa wakamaria sugu kwamba kwenye betting hakuna odds kubwa wala ndogo ila ni ishu ya probability
  7. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Good morning, Samia haters!!!! Tanzania plays U-17 afcon final guys!!

    Tutolee 🚮🚮🚮hapa muuaji mkubwa
  8. Kumfumaster97

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya Kununua Hayana Amani Kama Kuwa na Mke Wako

    Naona kuna kitu unakipigia promo kiufupi ndoa ni scam kiujumla KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI KATAA NDOA NDOA NI UTAPELI #TUTAKUWEPO
  9. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Itoshee kusema Africa kuna wasichana warembo sanaaa
  10. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo: Raia akimrushia jiwe Polisi, general order yake inamwambia 'Attack first'

    Leo umenena mkuu
  11. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Godoro la Goldson vip lina ubora kwa mliotumia au vipi

    🫡ngoja nijikaze nichukue
  12. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mbunge Muhsin Haji: Niwaambie vijana wa Tanzania mtakuja kumkumbuka Rais kwa makubwa aliyofanya kwa nchi hii

    Kumbe huko sawa kijana Tlaatlaah uko gizani bado
  13. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Godoro la Goldson vip lina ubora kwa mliotumia au vipi

    Bei yake inacheza kuanzia ngapi?
  14. Kumfumaster97

    JamiiForums Tanzania Mbunge Muhsin Haji: Niwaambie vijana wa Tanzania mtakuja kumkumbuka Rais kwa makubwa aliyofanya kwa nchi hii

    Tutamkumbuka kwa mauaji ya 29 october + Utekaji na si vingine
Back
Top Bottom