mzee pole sana,bora twende zetu tanga,arusha ukarimu ni bidhaa adimu sana nimeamini unaweza kupata tanzanite kirahisi kuriko mtu wa kukutoa upwekee!!kweli jamani wageni hamtukarimu???
Erotica SIO MANENO YA FARAJA HAYO KABISA NAONA UNATUKANA MAMBO KABLA HUJAVUKA MTO..WE HUJUI WAPWEKE NDIO WANAJUA KUJALI??HIYO SIO DISQUALIFICATION KABISA,JARIBU UONE UKARIMU WANGU EROTICA.
reta vipi tena kashifa hizo?mi niko serious..na nimefikia hotel kubwa na ya hazi ya nyota kadhaa..sio mbabaishaji kabisa,nilitegemea humu na ndugu zangu wa jf watanielewa..leo nashida mmanitupa.nashukuru preta dunia duara lakini kumbuka.
Jamani binti mrembo uliyepo hapa arusha ni pm tafadhari upweke unanimaliza...nimehamia hapa kikazi na niko hotelini tu..karibu japo tubadilishane mawazo na kupata kinywaji kwa muda..ni hilo tu wana familia wa jf arusha.
Ndugu yangu kama unashida na kazi hutaangalia hayo,wengi tuliappl-apply kwa e-mail hizo hizo na tukapata kazi au otherwise tumia P.o.Box iko hapo wameweka.
Mi pia na firm na website pia but najua matatizo ya e-mail account the website zetu na jinsi sevice providers wengi connection ilivyo down.
A CONSULTING FIRM IS URGENTLY LOOKING FOR AN EXPERIENCED LOG DESIGNER TO DESIGN IT A LOG
KINDLY SEND US YOUR DETAILS INCLUDING YOUR PREVIOUS LOG DESIGN AND PRICES AT president2003tz@yahoo.com 0r call 0653 07 59 49
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.