atafanya kazi ngapi sasa kwani hao mabeberu walikuwa hawajui kwamba magu ni mswahili wao ndo walitakiwa waandae wakalimaki kila mtu kulingana na lugha wanaotumia wasituchoshe😁😁
Kwani hamjajua tu hawa vyama pinzani kwa sasa wanaangalia kuingia IKULU,nyie na mashidashida yenu myatatue wenyewe la sivyo itabidi muwe mnayabeba magari yenu badala ya kubebwa.Sasa ivi tupo busy na kuingia Ikulu tuuuuuuuuuuuu.
dawa ni kutaja halmashauri,afisa elimu na huyo anaye pokea hayo mahela na namba zake za simu kama zipo siku mbili tu jipu litatumbuka msiwalee waovu
ma bosi zao huwa wanapita pita hata huku wanaweza wakawasaidia katika hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.