Unataka kutuambia nini hapa.Chadema ndo waongoza nchi? Waña serekali? Wana hazina?
Unataka kutuambia nini hapa.Chadema ndo waongoza nchi? Waña serekali? Wana hazina?
Kwani hamjajua tu hawa vyama pinzani kwa sasa wanaangalia kuingia IKULU,nyie na mashidashida yenu myatatue wenyewe la sivyo itabidi muwe mnayabeba magari yenu badala ya kubebwa.Sasa ivi tupo busy na kuingia Ikulu tuuuuuuuuuuuu.Wakazi wa maeneo ya Goba na Tegeta A wilayani ubungo wamelazimika kuchanga sh 5000 kila mmoja ili kukarabati barabara iliyoharibiwa na mvua na madaraja yaliyovunjika.
Wakazi hao wamedai wabunge wao na madiwani wao hawapatikani hali iliyopelekea kuwaomba viongozi wa CCM wawasaidie kufikisha kero yao serikalini.
Hata hivyo baada ya watendaji wa Tarura kuletwa eneo la tukio walidai ukarabati utafanywa mwaka ujao wa fedha.
Wakazi hao wa ubungo wamedai kuwa kuichagua Chadema kuongoza wilaya yao imekuwa kama dhambi kwani maeneo mengine yote ya jiji la Dsm barabara zinakarabatiwa isipokuwa ubungo pekee.
Wananchi hao wamemtaka meya wa ubungo ajipime kama badu anatosha kuwaongoza kwani hawako tayari kuendelea kuchanga hela za ujenzi wa barabara .
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
We dada mbea sana sisi wapiga kura wa jimbo hili kama msipotumia bunduki na mabomu kupora masanduku ya kura Chadema itaendelea kupeta,huku watu wengi wana akili timamu na hawadanganyiki na hadaa za Bokoharam.Wakazi wa maeneo ya Goba na Tegeta A wilayani ubungo wamelazimika kuchanga sh 5000 kila mmoja ili kukarabati barabara iliyoharibiwa na mvua na madaraja yaliyovunjika.
Wakazi hao wamedai wabunge wao na madiwani wao hawapatikani hali iliyopelekea kuwaomba viongozi wa CCM wawasaidie kufikisha kero yao serikalini.
Hata hivyo baada ya watendaji wa Tarura kuletwa eneo la tukio walidai ukarabati utafanywa mwaka ujao wa fedha.
Wakazi hao wa ubungo wamedai kuwa kuichagua Chadema kuongoza wilaya yao imekuwa kama dhambi kwani maeneo mengine yote ya jiji la Dsm barabara zinakarabatiwa isipokuwa ubungo pekee.
Wananchi hao wamemtaka meya wa ubungo ajipime kama badu anatosha kuwaongoza kwani hawako tayari kuendelea kuchanga hela za ujenzi wa barabara .
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
2020 chadomo inazikwa rasmi kibambaWe dada mbea sana sisi wapiga kura wa jimbo hili kama msipotumia bunduki na mabomu kupora masanduku ya kura Chadema itaendelea kupeta,huku watu wengi wana akili timamu na hawadanganyiki na hadaa za Bokoharam.
Wanaoharibu nchi ni genge la kigaidi linaloteka,kutesa na kuua wapinzani kwa nia ya kuua upinzani.Chadomo na genge lao la saccos limeharibu maendeleo ya nchi hii sana.
Utazikwa wewe na magaidi wenzako wa Lumumba2020 chadomo inazikwa rasmi kibamba
Hahahaa........ Tegeta A wanajuta bwashee!We dada mbea sana sisi wapiga kura wa jimbo hili kama msipotumia bunduki na mabomu kupora masanduku ya kura Chadema itaendelea kupeta,huku watu wengi wana akili timamu na hawadanganyiki na hadaa za Bokoharam.
Ni kweli mkuu nipo jimboni kwa ndugu mnyika huku kwembe barabara kwa ujumla si mzuri,na hivi udongo wetu ni mfinyanzi ikinyesha tu kidogo gari haiwezi pamba kilima kwa utelezi,sina hakika kama ukiwa mpinzani hupewi hata shilingi ya maendeleo au iko namna gani,kama ndugu John Mnyika uko humu,ni vizuri ukatembelea eneo lako hasa wakati huu wa mvua ndo uhalisia wa ubovu wa barabara unaonekana,Tatua hizi kero mkuuWakazi wa maeneo ya Goba na Tegeta A wilayani ubungo wamelazimika kuchanga sh 5000 kila mmoja ili kukarabati barabara iliyoharibiwa na mvua na madaraja yaliyovunjika.
Wakazi hao wamedai wabunge wao na madiwani wao hawapatikani hali iliyopelekea kuwaomba viongozi wa CCM wawasaidie kufikisha kero yao serikalini.
Hata hivyo baada ya watendaji wa Tarura kuletwa eneo la tukio walidai ukarabati utafanywa mwaka ujao wa fedha.
Wakazi hao wa ubungo wamedai kuwa kuichagua Chadema kuongoza wilaya yao imekuwa kama dhambi kwani maeneo mengine yote ya jiji la Dsm barabara zinakarabatiwa isipokuwa ubungo pekee.
Wananchi hao wamemtaka meya wa ubungo ajipime kama badu anatosha kuwaongoza kwani hawako tayari kuendelea kuchanga hela za ujenzi wa barabara .
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
JJ Mnyika amekusikia tunaye hapa!Ni kweli mkuu nipo jimboni kwa ndugu mnyika huku kwembe barabara kwa ujumla si mzuri,na hivi udongo wetu ni mfinyanzi ikinyesha tu kidogo gari haiwezi pamba kilima kwa utelezi,sina hakika kama ukiwa mpinzani hupewi hata shilingi ya maendeleo au iko namna gani,kama ndugu John Mnyika uko humu,ni vizuri ukatembelea eneo lako hasa wakati huu wa mvua ndo uhalisia wa ubovu wa barabara unaonekana,Tatua hizi kero mkuu
Kama Kodi wanalipa CCM halafu hawajengewi miundombinu ya ukweli halafu LAWAMA wanapeleka CHADEMA basi watakuwa wamelaaniwa na kuwa na ulemavu pamoja na Taahira ya akiliWakazi wa maeneo ya Goba na Tegeta A wilayani ubungo wamelazimika kuchanga sh 5000 kila mmoja ili kukarabati barabara iliyoharibiwa na mvua na madaraja yaliyovunjika.
Wakazi hao wamedai wabunge wao na madiwani wao hawapatikani hali iliyopelekea kuwaomba viongozi wa CCM wawasaidie kufikisha kero yao serikalini.
Hata hivyo baada ya watendaji wa Tarura kuletwa eneo la tukio walidai ukarabati utafanywa mwaka ujao wa fedha.
Wakazi hao wa ubungo wamedai kuwa kuichagua Chadema kuongoza wilaya yao imekuwa kama dhambi kwani maeneo mengine yote ya jiji la Dsm barabara zinakarabatiwa isipokuwa ubungo pekee.
Wananchi hao wamemtaka meya wa ubungo ajipime kama badu anatosha kuwaongoza kwani hawako tayari kuendelea kuchanga hela za ujenzi wa barabara .
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Mleta mada kavimbiwa viporo anatafuta pa kupumulia tu, kipindi hiki cha mvua maeneo mengi katika jimbo hili kutokana na mazingira ya kuwa kwenye vilima barabara zimeharibika na hakuna anayelalamika bali sisi wenyewe tunafanya matengenezo. Huyo kula kulala kwa shemeji yake mwache abwabwaje akija kushtuka dada kabigwa kibuti anaanza kutafuta hifadhi gheto kwa masela.Kama Kodi wanalipa CCM halafu hawajengewi miundombinu ya ukweli halafu LAWAMA wanapeleka CHADEMA basi watakuwa wamelaaniwa na kuwa na ulemavu pamoja na Taahira ya akili
Rufiji kutoka Bungu hadi nyamisati mbunge wao atakuwa wa chama cha Congress huko marekani maana kwenyewe barabara haiitiki kabisaWakazi wa maeneo ya Goba na Tegeta A wilayani ubungo wamelazimika kuchanga sh 5000 kila mmoja ili kukarabati barabara iliyoharibiwa na mvua na madaraja yaliyovunjika.
Wakazi hao wamedai wabunge wao na madiwani wao hawapatikani hali iliyopelekea kuwaomba viongozi wa CCM wawasaidie kufikisha kero yao serikalini.
Hata hivyo baada ya watendaji wa Tarura kuletwa eneo la tukio walidai ukarabati utafanywa mwaka ujao wa fedha.
Wakazi hao wa ubungo wamedai kuwa kuichagua Chadema kuongoza wilaya yao imekuwa kama dhambi kwani maeneo mengine yote ya jiji la Dsm barabara zinakarabatiwa isipokuwa ubungo pekee.
Wananchi hao wamemtaka meya wa ubungo ajipime kama badu anatosha kuwaongoza kwani hawako tayari kuendelea kuchanga hela za ujenzi wa barabara .
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaa........ Mleta mada amewanukuu wakazi wa Goba usikurupuke!Mleta mada kavimbiwa viporo anatafuta pa kupumulia tu, kipindi hiki cha mvua maeneo mengi katika jimbo hili kutokana na mazingira ya kuwa kwenye vilima barabara zimeharibika na hakuna anayelalamika bali sisi wenyewe tunafanya matengenezo. Huyo kula kulala kwa shemeji yake mwache abwabwaje akija kushtuka dada kabigwa kibuti anaanza kutafuta hifadhi gheto kwa masela.
NASI TUMEKUNUKUU WEWE? USIKURUPUKE KUNUKUU KILA UNALOLISIKIA.Hahahaa........ Mleta mada amewanukuu wakazi wa Goba usikurupuke!
Dada mimi ni mkazi huku na tuko bize kutengeneza bara bara zetu na mvua yetu hivyo hivyo hatusubiri hisani ya vifutu. By the way hivi ni Chadema ndiyo wanaonyesha mvua hizi zinazo haribu barabara? Na jee ni jimbo hili la Kibamba tu ndiyo limeathiriwa na mvua hizi zinazoendelea kunyesha?Hahahaa........ Mleta mada amewanukuu wakazi wa Goba usikurupuke!
Hahahaa....... Umeshachanga sh 5000/=Dada mimi ni mkazi huku na tuko bize kutengeneza bara bara zetu na mvua yetu hivyo hivyo hatusubiri hisani ya vifutu. By the way hivi ni Chadema ndiyo wanaonyesha mvua hizi zinazo haribu barabara? Na jee ni jimbo hili la Kibamba tu ndiyo limeathiriwa na mvua hizi zinazoendelea kunyesha?
Huku kwetu tumechanga 30,000/- na watu wanatoa kiroho safi. We subiria kubrash viatu vya shemeji yako.Hahahaa....... Umeshachanga sh 5000/=
Hahahhaaaaa, penda sana hiiHuku LINGUSENGUSE(RUVUMA) tumekuwa tunachagua chama dola kwa miaka yote hii inayosemekana tumekuwa huru(57yrs)na hadi leo hakuna hata rais mmoja aliyetutembelea,na social services zote ni zero,je mtoa uzi unapendekeza nasi tujaribu kuwachagua chadema labda tutaona mabadiliko?
Hahahaa...... Huku Ilala Katapila la manispaa liko kazini mambo ya michango tulishasahau tangu Magufuli aanze kutuongoza!Huku kwetu tumechanga 30,000/- na watu wanatoa kiroho safi. We subiria kubrash viatu vya shemeji yako.