Habari JF.
Hawa jamaa siku za jumamosi na jumapili saa 4 hivi wana kipindi eti wanaita sports AM wakati muda wote wanajadili mpira wa miguu tu. Nadhani wana JF mtanisaidia maana ya neno sports na usahihi wa jina la kipindi hiki.
Nilikopeshwa na HESLB. Wamekata pesa na ziada. Kurudisha wanasuasua. Wakopaji wanalipishwa penalty na value retention fee.Kwanini hiyo penalty na value retention fee isilipishwe na kwao kwa kukata fedha zaidi ya mkopo wa muombaji???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.