Mzee ES,
Habari za masiku mkuu?
Nimekuwa busy na ujenzi wa Taifa kwa ari, nguvu na kasi mpya ya ajabu.. kiasi imekuwa ngumu kuwa active humu JF, but trust me .. nnapita pita every now and then, na nnapata mengi ya faida.. ingawa na uongo pia uko mwingi.
Baadhi ya uongo ni kwa...
HII NI PAMOJA NA KUONGEZA MAZINGIRA YA AJIRA NA PIA UFANISI KATIKA KAZI. MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YANAWEZEKANA...
Mishahara minono bajeti ijayo-Kikwete
2007-04-29 10:05:09
Na Godfrey Monyo
SOURCE NIPASHE
Watumishi Serikalini kuchekelea bajeti ijayo, kwa kuongezewa...
Itasaidia pia tukijenga mazingira ya kupita hapa, wana ajira nyingi huzitangaza mara kwa mara.
Sasa hivi ni wakati muafaka kwa wazalendo wa kweli kujitokeza na kushiriki katika maendeleo ya nchi ikiwa ni pamoja na kupashana habari kuhusu kazi hizi.
Mugishagwe:
Yes ni hoja nzuri hiyo...
Sambamba na ahadi ya Rais ya kutengeneza ajira milioni moja kwa ngwe yake hii na pia kujikita zaidi katika kilimo, mipango imekamilika kuajiri kwa kuanzia mabwanashamba lukuki kama mnavyoona. This is good for our country....more jobs coming...
Mabwanashamba 2,500 kuajiriwa
2007-04-28...
Kumbe wengi wameweza kujilipia!
UDSM reports positive fee paying response
KILASA MTAMBALIKE
Daily News; Thursday,April 26, 2007 @00:05
THERE has been a positive response among parents and guardians in paying tuition fees for students at the now closed University of Dar es Salaam...
Nia nzuri ni ipi katika mgomo?
Hawa ni vijana ambao hawakuexplore all options za negotiations wamegoma...i can understand their argument lakini they about it the wrong way!
Mzee Mwanakijiji:
Ingekuwa wachangiaji wetu wote hapa wanachangia objectively kama wewe, wakubwa wetu wengi wangekuwa wanakuja hapa na kujifunza maoni hasa ya wananchi, they're not necessarily correct lakini at least ni views zinazoweza kusikilizwa na wasomi, this is good and I encourage you...
MWANASIASA
Ni kweli hawa vijana wamewahi sana kugoma kama chuo kilivyochukua hatua ya kuwataka waondoke 'ghafla'...
Hatua nilizoshauri awali ni ile waombe ushauri,audience na rais,barua ya wazi,lobbying in the parliament[ hii naongeza sasa] na mwisho kutishia kwa kuweka deadline kuwa...
Hili jambo hakika you have to be a bit sceptic kuangalia namna ya kuchangia humu.
WANAFUNZI:
Ni kweli beyond doubt kwamba 3500 kwa tanzania haitoshelezi mahitaji ya mwanafunzi lakini how do you go about claiming the money?
Walimuomba rais 'kichama' akaahidi kufuatilia, hatukisikia...
Kwani hivi ni wapi hapo ambapo wapinzani walitaka kufungua radio wakazungushwa? tutajie mpinzani huyo manake hii msibeat around the bush....
Nawajua wapinzani ambao wanafanya biashara zao freesh tu:
Ndesamburo:
The hotel tycoon pale moshi, dar na kwingineko , hivi umesikia lini watu...
Ideally mwanakijiji you are right kuwa kile aliye mtanzania kwa vigezo vyovyote vile lazima na ni wajibu wake kikatiba kuenjoy national cake, hili lipo wazi halikuhitaji shule yeyote, I am afraid you are lost in the details
1. Mfano wako wa Professa Lipumba uko wrong:
- Sina shaka na elimu...
I can understand why inakuwa tabu kwa 'wapiga kelele wa ukabila' kutoa contacts zao. Unlike the TRA guys, these JF members need to maintain their anonymity kama wanavyotumia nick names hapa, kwa hiyo hawataki sauti zao zisikike humo redioni!
Labda Mkjiji awapatie namna nyingine ya wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.