Recent content by kukutia

  1. kukutia

    JamiiForums Tanzania Ijue Sheria ya Mtoto. Uliza swali lolote kuhusu Sheria ya Mtoto

    Naomba kuuliza hivi tunayo sheria inayozuia mtoto mdgo chini ya miaka kumi kupelekwa boarding schools Sent using Jamii Forums mobile app
  2. kukutia

    JamiiForums Tanzania Research

    Habarin wana jukwaa am conducting a research on the effectiveness of the commission of human rights and good governance towards protecting human rights in tanzania ...plz naomben mnisaidie material Sent using Jamii Forums mobile app
  3. kukutia

    JamiiForums Tanzania Philosopy of the law

    Hlw brothers and sister naomba kwa yeyote mwenye soft copy ya kitabu cha Binamungu law of Tort na material ya jurisprudence anisave
  4. kukutia

    JamiiForums Tanzania LEGAL PROBLEMS

    Sawa
  5. kukutia

    JamiiForums Tanzania LEGAL PROBLEMS

    Haha eeeeh aseee
  6. kukutia

    JamiiForums Tanzania LEGAL PROBLEMS

    Habarini wasomi katika sheria ni nyanja ipi ina Legal problems nyingi kwa sasa hivi
  7. kukutia

    JamiiForums Tanzania Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Niliipata lakn kuattach humu inagoma cjui nin tatizo
  8. kukutia

    JamiiForums Tanzania Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Anyone with montevideo convention soft copy help me plz
  9. kukutia

    JamiiForums Tanzania Nisaidie kisheria kuvunja ndoa

    Mahakama ikitoa taraka hyo inamaanisha hakukua na ndoa kwahyo waweza kuoa mwanamke mwingine lakn co kanisani
  10. kukutia

    JamiiForums Tanzania Clarification

    Shukran
  11. kukutia

    JamiiForums Tanzania Clarification

    Why married couple are disqualified by law to enter into contract
  12. kukutia

    JamiiForums Tanzania Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Mwenye soft copy ya kitabu chochote cha constitutional law naomba anisaidie
  13. kukutia

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu ujumbe huu wa TCU

    Kijana nenda ukaripot chuo ukisubir itakula kwako
  14. kukutia

    JamiiForums Tanzania Kujuzwa kuhusu chuo cha jordan-morogoro

    Habarini wadau naomben mwenye kujua kiundan chuo cha jordan hasa kwa kitivo cha sheria yaan taaluma kikoje?? Waalimu wapo wa kutosha?? Naomben msaada tafadhali
  15. kukutia

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo yakamilisha uchambuzi wa maombi ya mikopo, 20,183 wapata kati ya 88,163 walioomba

    we jamaa acha ushamba unadhani hlo tangazo kajitungia ingia website ya HESLB utalikuta usikae unaandika pumba!!
Back
Top Bottom