Nina ostadh wangu mmoja.alioa mrangi tena wale weupeeeee km mwarabu.bwana wee si akaenda kutembea oman.aliporudi tu akadai talaka.jamaa akahoma kutoa talaka ,lkn mwisho demu kafika mpk kwa mahakamani ili apewe talaka mjama alipoona yamekiwa mengi akamiacha huku anampenda .naifanaosja na muvi ya...
Siri ya flat screen ni hii papuchi yake inakuwa kwa mbele ,lkn ukikutana na yule mwenye msambwindo yeye papuchi inakuwa imevutwa zinakuwa ndooogo.unaweza ifunika kwa vidole viwili tu.
DAWA ni kuweka CID or informer mule mule katika mafundi unamwambia bana nitakulipa .nilinde nikulinde.
Kwahiyo watu wakichinja nguruwe(yaani kuiba kimyakimya kwa Siri sana) jamaa ananipa mchongo wote..hii inasaidia sana maana ukijua unawakata tu mishara yao au ktk pesa yao utakayowalipa
Umri wangu miaka 45,
Muislamu naishi Dodoma. Natafuta mchumba sifa awe mweupe, mzuri, asiwe bonge nyanya au mwenye maziwa mengi.
Awe angalau na kidato cha nne, awe tayari Kuishi Dodoma nilipo.
Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja au asiwe naye kabisa. Umri usizidi 35,
Akiwa tasa sawa tu. almuhimmu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.