Au ndo hawa wameamua kumstaafisha kwa lazimahttps://www.jamiiforums.com/threads/dc-kiswaga-endapo-william-lukuvi-atagoma-kustaafu-ubunge-isimani-wananchi-tutamstaafisha-kwa-lazima.2346987/
Mimi huwa ninahoji kwanini mtu kutoka zanzibar anaweza kuja tanganyika na kushika wadhifa wa juu hadi kuwa rais/makamu wa raisi, wakati huo huo kwa mazingira hayo hayo ya kimuungano mtu kutoka tanganyika hawezi kupewa hadhi hiyo zanzibar? Kwanini upande mmoja wa muungano ndo uvune matunda ya...
hakuna dhambi lakini chumvi umezidisha chakula kitapoteza ladha maana unayoyasema huko kijijini kwetu hayapo sa cjui hyo research yako umeifanyia wapi?
Sasa hata tusipowaua tunapata faida gan kwao kama sio kutiana aibu tu, imagine mtu wako wa karibu anakuwa na hizo tabia yan unajiskia aibu hata kuongozana nae njiani.. God forbid!!
Tatizo sio budget, tatizo ni usimamizi mbovu hata wale wanaoenda kukagua mradi kabla haujakabidhiwa sijui huwa hawaoni na kingine me nadhani ni mikataba wanayosaini hao wakandarasi haiwabani unakuta barabara ina miaka miwili tu lakn imeshachakaa na bado mbunge anaenda kuomba fedha za ukarabati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.