Rest in peace askari wenzangu, Mungu atutie nguvu ktk utendaji. Pia tukumbuke leo kauliwa askari kesho waweza vamiwa wewe nyumbani kwako tushirikiane ktk kuleta amani ya nchi yetu
kuna kitu kimejificha hapo kwa sababu alie kuwa shahidi mkuu ktk kesi hiyo kuitetea serikali alifariki na ndo alikuwa tegemeo na wingine ambae alibidi atoe ushahidi tiyar kesha pokea mshiko wake na kujitoa kwenye kesi unazani hapo serikali inashida je ndo maana wenzetu China unanyongwa au...
tatizo humu ndani tunajadili kichama na kiitikadi bt ki ukweli kanuni hazikufwatwa mi nazani kuna kitu kimejificha katika mswada hiyo iliyosababisha isijadiliwe kwa makini
hii ndo Tanzania yetu alafu tunawachagua walikupa elfu 5 utazitoa mara elfu ya hiyo hela na ndo maana ubathilifu unakithili saaaaaaana na kuendelea kuota mizizi siku hadi siku
kwani wakina mengi wanapotoa misahada kwann serikali isimwambie ahache ni kaz yao mi nazan kama mwana jamaniiii angetoa mchango wake sio hela yote kuishia tumbon na mbona wanakijiji ndo wanaochangia maendeleo kwann serikali isifanye coz ninavyojua mm serikali ni mm, ww na yy
kwanini asijenge mahabara au asinunue vitambu au madawat katika shule zetu za kata? ?? badala yake wanatusumbua walala hoi na kula kodi zetu ila Mungu atalipa siku moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.