Kero yangu ni kuhusu michango inayotozwa wanafunzi wa Shule ya Msingi VETA iliyopo Mbeya Mjini
Wanafunzi wanatakiwa kuchangia:
Shilingi 5,000 kila mwezi;
Shilingi 1,000 kila wiki;
Shilingi 20,000 (mchango mwingine);
Mchele kilo 10; na
Maharage kilo 7.
Naomba kufahamu, je, michango hii...
Nadhani karibu mkuu ameongea vizuri, hata hao vijana hawa kuamka tu wakaingia barabarani. Serikali itafute au iseme kilicho waongoza barabarani ili kitu kama hicho kisijirudie tena. Maana kuua watu wako hata kama ni wahalifu haina afya.
Sina hakika na hili. Maana ninavyojua mfumo wa RITA huwezi lipia mara mbili kwa huduma moja ila ukilipa mara ya pili itakuongezea huduma ya pili maana yake mpendwa hapa ulijichanganya mwenyewe.
Kama ni kauli za kisiasa tu hakuna tatizo. Tatizo ni pale siasa zinapochanganyikana na hisia za kikabila au kidini na upendeleo wa moja ya makundi hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.