Kuwa makini na unachotaka kufanya,kumreport polisi utakuwa umeharibu maisha yake na kucheza na maisha ya mtu ni kujiweka katika hatari ww na family yako.Kama Kuna uwezekano mtafutemwenyewe muongee nae kwanza
Habari wakuu,
Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti.
Mwenye connection tupeane wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.