Recent content by kudojo

  1. K

    Mke wangu aliniacha na kwenda kuishi X wake, sasa anataka turudiane

    Yaani wewe inatakiwa utandikwe bakora za kutosha kenge wewee....wewe ni mvulana Bado hujafikia stage ya kuitwa mwanaume
  2. K

    Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

    Shukuru anataka muachane Kwa amani ila ulistahili akuache na makovu ya kutosha kwenye mwili wako Ili usimsahau maisha yako yote
  3. K

    Simulizi ya Kijasusi: Giza la Wasaliti

    Iko vzr sana
  4. K

    Riwaya: SIN

    Iko poa sana
  5. K

    Nahitaji gari kwa Bajeti ya 5.5 Milioni

    Nahitaji kununua mojawapo kati ya hizi Nadia Allex Spacio old/new. Bajeti yangu 5.5M Mwenye nalo anicheck
  6. K

    DOKEZO Mpangaji wangu kageuza Nyumba yangu kuwa kiwanda bubu cha kutengeneza vinywaji vikali feki kama Konyagi, K Vant nk

    Kuwa makini na unachotaka kufanya,kumreport polisi utakuwa umeharibu maisha yake na kucheza na maisha ya mtu ni kujiweka katika hatari ww na family yako.Kama Kuna uwezekano mtafutemwenyewe muongee nae kwanza
  7. K

    Natafuta kazi ya Lab Technician

    Habari wakuu, Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti. Mwenye connection tupeane wakuu.
  8. K

    Simulizi ya Kijasusi: Bado Ninaishi

    Iko poa sana
  9. K

    Mfanyabiashara aidai milioni 227 halmashauri ya Monduli kwa miaka 18 ni baada ya kujenga shule ya Sokoine

    Makonda pamoja na mapungufu yake kama mwanadamu but jamaa Yuko smart sana,watendaji Arusha watanyooshwa vibaya sana
Back
Top Bottom