Recent content by Kuchitimbo

  1. K

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    Mbona nilisikia mluzi ukipuliza slowly pia alikuwemo
  2. K

    Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

    Kiapo alichokula akiwa JKT ndo kitakachomsumbua,kwingine anaweza kupeta
  3. K

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    Huu ndo ukweli ambao unawauma wengi na watu wa mlengo wa kushoto.👏👏👏
  4. K

    GE2025 Arusha tunaenda na Ally Babu, Makonda NO

    Arusha hatusikii lolote au chochote kuhusu PCM
  5. K

    PreGE2025 Chini ya uongozi wa Lissu na Heche, CHADEMA haiwezi kusimama wala kufua dafu tena kwenye medani za siasa za Tanzania

    Ukweli jamaa kazungumza,baada ya Mbowe kukaa pembeni na kuavha chama mikononi mwa Lissu,Heche na Nyagali nilipata hofu. Kuanguka kunasubiriwa
  6. K

    PreGE2025 Hongereni Mawakili wa Tundu Lissu, Hii iwe hatua ya mwanzo, zingine kali zaidi zifuate

    Hakuna siku mzungu amemuonea mwafrika huruma unless yawepo maslahi yao au madini wakijua wakiingia kuna kitu watavuna
  7. K

    PreGE2025 No Reforms No Election yaingia Kanda ya Kaskazini, Angalia Ratiba ya Kijiji Chako hapa

    Ndgu zangu mnao dai kuwa hawa ni watetezi bado hamjawajua wanasiasa,nashauri tufanye kazi ya kutuingizia vipato. Hao CDM hata wakipewa madaraka leo ya kuiongoza nchi mtalia na wengi mtarudi hapa na kusema bora CCM kuliko hawa manyang'au ya CDM. Subirini mjionee
  8. K

    "Huyu Mama...mi nikamwangalia tuu". Hii sio lugha ya Mimbarini, ni lugha ya Kijiweni! Rais wa nchi ni Rais, sio 'Huyu Mama'. Lazima aheshimiwe na wote

    Naunga hoja,watanzania kuweni na adabu. Paschal hapo kuna safari ndefu kufika,maana kama viongozi wa dini ndo wanatoa maneno ya shambo kiasi hiki itakuwaje waumini wao
  9. K

    PreGE2025 Wanasheria wa Kimataifa walaani kukamatwa na kushtakiwa kwa Tundu Lissu

    Muwaambie kuwa ameenda kinyume na katiba ya nchi na wala wao siyo mahakama ya Tanzania,kuendendelea kuongelea mambo yasiyowahusu ni kuthibitisha kuwa wao ndo walimtuma. Muwaambie kuwa hata wafanyeje hatumwachii,hadi mahakama za Tanzania zitakapo amua hiyo kesi yake
  10. K

    Serikali iwe macho sana na Lissu na watu wake

    Kimoyomoyo nilikuwa nawaza hata huyo pm mstaafu alitakiwa kuhojiwa
  11. K

    PreGE2025 Jaji Warioba: Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri Bashungwa kutoa maoni kesi inayomkabili Lissu inaweza kutoa taswira mbaya kwa Serikali

    wazee leo ndo wanaonekana wenye hekima na upendo,rejelea mmoja akiwa mkuu wa mkoa fulani alivokuwa amejawa na visasi vya ukabila na chuki dhidi ya makabila ya huo mkoa na mwingine kama sijakosea akiwa nipiemu
  12. K

    TANESCO: Sasa usambazaji wa umeme nchini kufanywa na sekta binafsi. Tayari Wawekezaji wameonesha nia ya kuwekeza TZS 3.3T kwa sharti la Ubia

    Mimi napingana wa hao wawekezaji,u akuja kuwekeza kwenye meme ujenge miundombinu ya kusafirisha meme kwenda kijiji kipi ambacho hakina meme?. Ninachokiona umeme wa Serikali bei itapaa huku wa mwekezaji ukishuka bei ili wananchi wengi watumie wa mwekezaji maana huyo mwekezaji si wa kutoka nje ni...
  13. K

    Viongozi wa dini epukeni siasa za upinzani wahuni waweza kuwafanyia kitu kibaya ili wapate kick za kisiasa na kusingizia serikali

    Mwandishi hata mimi nakubaliana naye. Mfano clip ya Dr W.P.Slaa kudai CDM ilikuwa inateka na kuwatesa watu
  14. K

    Nimetafakari sana yanayoendelea nchini, na kufikia uamuzi kuwa ni bora Rais Samia aidha akubali kuahirisha uchaguzi tubadili kanuni au asigombee

    Hivi huyu Lisu ni Mungu katika nchi hii?. Pumbavu kabisa,uchaguzi uahirishwe kisa TAL!!!!!!!. Natamka leo,kama utaahirishwa kwa sababu Lisu na Heche walidai mabadiliko nitawachukulia watz wote kama mi.....k....ndu......
Back
Top Bottom