Ona ni jinsi gani hata wanavyotumia pesa zetu vibaya kwa faida ya wachache.....Kwa namna hii kunahaja ya kulipa kodi kweli? Tumepotea njia nani wakuterejesha kwenye njia kuu?
Ni jambo la kushitua na kustajabisha kwa hospitali tunayoiita ya mkoa wa Songea inakosa huduma ya X-RAY.
Waziri wa kazi Jenista na Waziri wa Afya Ummy ni kweli hamlifahamu hili?
Jana sikuamini kusikia taarifa hii kuwa hospitali ya mkoa eti haiwezi kutibu majeruhi wa ajari kwa kuwa walikuwa...
Imekuwa ikisikika mara kwa mara pindi vyama vya upinzani vinataka kufanya mikutano au maandamano,Polisi wakisema wanataarifa za kiinterejensia kuwa kutakuwa na uvunji wa amani.Na basi kuamuru chama husika kutokuendelea na huo mkutano au maandamano yalipangwa kufanyika.
Kwangu imekuwa ngumu...
Wachawi siyo lazima waruke na nyungo.Huyu mama nikati ya watu waliowaingiza wakulima wa jimbo lake kwenye mkata wa kinyonya eti "Wanakubali kuuza mahindi kwa mkopo na wanaapa kuwa hawatadai pesa zao wala kuandamana ili kushinikiza walipwe"
Ameharibu vijana kwa kuwazamisha kwenye ulevi baada...
Bila shaka mtakubaliana na mimi kuwa uteuzi uliofanywa jana wa mawaziri haukuzingatia uwezo wa mtu bali ni mchango gani mtu alitoa ktk kuiokoa serikali ktk sakata la escrow,mfano Anna Kilango kumuokoa Pinda.
INGEKUWA ANAJALI MAENDELEO YA WANANCHI WAKE ASINGEACHIA WAFANYABIASHARA WANUNUE MAHINDI KWA WAKULIMA KWA KILO SHILINGI 150/ NA WAO KUUZA KWA SERIKALI KWA SHILINGI 500.
Ni mbunge dhaifu na asiyejitambua wajibu wake.
Mwampamba jina lako na maneno yako hayaendani. Jazba,kiburi,hasira,matusi ha,majivuno hayo yote ni machukizo mbele ya Mungu. Wapo wengi walitumika kama ww na mwisho wao ulikuwa mbaya. Jitambue na ujue kuwa ccm inawanachama 5,000,000 na upinzani ni 4,000,000 na walio wengi hawana vyama ninaimani...
Hivi wewe unauwezo gani wa kujua mambo ya ndani ya ccm wakati huna wadhifa wowote wa kukuwezesha kujua mikakati ya ndani.Habari yako imekwesha ni mfano wa kigunzi. Usijipendekeze kwa watu wasio kutaka na usiwe mwepesi wa kusema mwisho ya siku haibu itakushika.
Mbona hujamsema mwenyekiti wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.