Recent content by kubyula jr

  1. K

    Kutoka Zanzibar: CHADEMA yawa agenda ndani ya CC ya CCM

    Hawana lolote hao wanamuogopa sana Lowasa
  2. K

    Dr. Limbu,Mbatia,Cheyo wamtaja Mwigulu kuwa Rais ajaye,Wamuonya asiwaangushe

    Huyu jamaa alisema anaushahidi wa chama cha demokrasia na maendeleo kuwa ni chama cha kigaidi akaapa kutoa huu ushahidi hata mbiguni lakini akashindwa leo anataka urais?
  3. K

    Kitine: Kuna waziri ameiba fedha za nchi huko nje ametia mfukoni mwake kutafutia urais

    Bongoland kila siku yanaibuka mapya mpaka uchaguzi tutasikia mengi haya twende kazi
  4. K

    Picha: Salute Red Brigade Mbeya

    Shikamoooo Sugu!
  5. K

    CHADEMA kukua na kuimarika Kanda ya Ziwa ni mwanzo wa mwisho wa CCM!

    ukiona giza limezidi sana mapambazuko yamekalibia
  6. K

    Zitto Kabwe: Adui, Rafiki, Kipenzi

    Mimi nichojiuliza na ambacho nataka anijibu mleta maada ni kwamba je ni halali kumsifia mwenyekiti wa kamati ya PAC yeye binafsi badala ya kuisifia kamati nzima kwa kazi nzuri waliyoifanya? au tunaongea kishabiki zaidi au kuna kitu nyuma ya pazia?
  7. K

    Sengerema: Fransico Kimasa Shejamabu ajiunga CHADEMA, Kugombea Ubunge

    Hawa wanaohama ccm ni kujiunga cdm mbona wanataka madaraka sana cdm kuweni makini na watu hawa
  8. K

    RASMI: Zuio la Mahakama Marudio ya Uchaguzi S/Mitaa na Ubatili wa zuio hilo

    Kikwete hakika umeweka record ya kuwa na serikali dhaifu kuwahi kutokea tz tutakukumbuka kwa hilo nchi unaipeleka wapi?
  9. K

    Utanzania na Mtanzania

    Umesomeka mkuu utanzania haupo tena ila kunaudanganyika ndio maana leo kuna watanzania wanapinga mafisadi na wazembe wasiondolewe kwenye nafasi zao eti wamesambaza saana umeme utafikiri yeye anahati miliki ya wizara ya nishati na madini upuuuuuuzi!
  10. K

    CUF: Tunalaani fitina za kuigawa UKAWA zinazofanywa na wana UKAWA

    Abdul Kambaya huna tofauti na hao unaoshutumu kama nia ya cuf ni nzuri kwa nini msiulizane kwenye vyama vyenu(ukawa) kwanza kabla ya kukimbilia kwenye vyombo vya habari kama ikishindikana ndipo urudi media?
  11. K

    Warioba anafanya kazi hii kwa niaba ya nani? Huo ni uchochezi

    Acha kuweweseka tulia dawa iingie
  12. K

    Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

    hakuna marefu yasiyokuwa na ncha wakae chini wamalize tofauti zao kama Kafulila na Nccr
  13. K

    Naibu Spika Job Ndugai atumia milioni 13 za walalahoi kupanda 1St Class Emirates A380

    Hivi watanzania tutaondokana na laana hii? maana hata wafadhili wetu hawayatumii haya madaraja
  14. K

    KAFULILA: Huwa tunapewa ISSUE za ufisadi kutoka kwa wabunge wa CCM!

    Baadhi ya wabunge wa ccm ni wazalendo ila huwa hawasemi kuhofia nafasi zao ndama ya chama
  15. K

    Nawaza sana, nisadieni

    ukipenda bongo penda na ...?
Back
Top Bottom