Recent content by Kuala Lumpur

  1. Kuala Lumpur

    Dodoma: Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, wafanya Zoezi la Utayari

    police mda mwingine muwe mnatumia na akili,kadada kapo MAREKANI kanawanyima usingizi,Je wakiandamana marekani sisi inatuhusu nn.
  2. Kuala Lumpur

    Dodoma: Vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama, wafanya Zoezi la Utayari

    police mda mwingine muwe mnatumia na akili,kadada kapo MAREKANI kanawanyima usingizi,Je wakiandamana marekani sisi inatuhusu nn.
  3. Kuala Lumpur

    Ninyi wapinzani mnaohama chama nani aliye walogaa

    Me si mkereketwa wa siasa, lakin kidogo huwa nafuatilia mambo ya siasa. Hizi purukushani za watu kuhamia ccm ninaziona ona tu kama hivi...Nina maswali mawili wanaoweza kunijibu mtanijibu 1. Je , hivi haiwezekan kuunga mkono jitihada za mh rais ukiwa katka chama chako!? Ni mpaka uingie ccm ndo...
  4. Kuala Lumpur

    Ukwel nilio ugundua ata kama mimi siyo mwanasiasa

    Me si mkereketwa wa siasa, lakin kidogo huwa nafuatilia mambo ya siasa. Hizi purukushani za watu kuhamia ccm ninaziona ona tu kama hivi...Nina maswali mawili wanaoweza kunijibu mtanijibu 1. Je , hivi haiwezekan kuunga mkono jitihada za mh rais ukiwa katka chama chako!? Ni mpaka uingie ccm ndo...
  5. Kuala Lumpur

    Maadui wa kubwa wa maeendeleo ni hawa

    Dah! Hii kweli dirisha dogo.....kwa nn hawa jamaa wanaingiza nchi kwenye hasara kwa kurudia uchaguzi tena.....c ni bora angesubiri ahame 2020 ili hizi hela za kurudia uchaguzi zikafanye kazi nyingine
  6. Kuala Lumpur

    Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

    Kimyaa jamani aliye oa mke aliye mzdi umrii aje na mrejeshoo bas
  7. Kuala Lumpur

    Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

    Kwan shkamoo n nn,anaeza kukusalimia tuu ata kama mkubwaa
  8. Kuala Lumpur

    Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

    Soma vzul post utajua mm n nan
  9. Kuala Lumpur

    Wale tunaotaka kuowa wake waliotuzidi umri njoo apa

    Nasikia wasichana kati ya umri wa miaka 18_30 wasubufu sana ni bora uoe single mother au watu wazima, eti ni kwel au
  10. Kuala Lumpur

    Nipo kwenye giza, nikimuomba tuwe wachumba ananizungusha

    Washaa taa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Kuala Lumpur

    Ifike kipindi watanzania tuwe na akili,siyo kufata mkumbo mana kundi halina akili.

    Na zile ml 50 je nae lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Kuala Lumpur

    Ifike kipindi watanzania tuwe na akili,siyo kufata mkumbo mana kundi halina akili.

    Mimi napenda kua mwazi mana sisi watanzania tumezidi kupoteza mijadala inayohusu taifa na mendeleo yetu kwa kupotezea kwa kiki za kijinga au kumsingizia mtu kua yeye ndo kikwazo, 1 kuna dege inapigwa mnada wanasema mwanasiasa mmoja kasababisha je ndo aliyevunja mkataba 2 mtaji wa 1 million...
  13. Kuala Lumpur

    Tundu Lissu(CHADEMA): Ndege ya ATCL iliyopaswa kuwasili nchini mwezi Julai, imekamatwa Canada na watu wanaoidai Tanzania

    Na je mtaji wa 1million afu unaambiwa ununue efd ya laki 8 nae ni lissu Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Kuala Lumpur

    Kwa uzalendo zaidi na kuipenda tanzania napenda iwe ivi

    Kwenye wimbo wa taifa tuanze na mungu ibariki Tanzania na siyo Mungu ibariki afrika, Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom