Kuala Lumpur
Member
- Jul 28, 2017
- 20
- 19
Nasikia wasichana kati ya umri wa miaka 18_30 wasubufu sana ni bora uoe single mother au watu wazima, eti ni kwel au
Inamaana wazungu wanaooa wanawake waliowazidi miaka 10 hawajiaminiUtaoaje mke anayekuzidi umri huo ni ujinga na kutojiamini
Akili za kuambiwa changanya na za kwakoNasikia wasichana kati ya umri wa miaka 18_30 wasubufu sana ni bora uoe single mother au watu wazima, eti ni kwel au
Soma vzul post utajua mm n nanWw ni KE ??Tuanzir hapa kwanza
Kwan shkamoo n nn,anaeza kukusalimia tuu ata kama mkubwaaUnataka kuoa Mke utakae kuwa unampa shikamoo baada ya kuamka...!?
Labda kama atatoa yeye Mahali...
hahahaha!Unataka kuoa Mke utakae kuwa unampa shikamoo baada ya kuamka...!?
Labda kama atatoa yeye Mahali...
hahahaha!Unataka kuoa Mke utakae kuwa unampa shikamoo baada ya kuamka...!?
Labda kama atatoa yeye Mahali...
Unataka kuoa Mke utakae kuwa unampa shikamoo baada ya kuamka...!?
Labda kama atatoa yeye Mahali...