Hakikisha umefunga milango yote ya gari ukiwa ndani, na vioo sehem zenye vibaka kama magomeni, wezi hawatabiliki kabisa wanaweza kunyofoa vifaa hata ukipark gari sio lazima kwenye foleni, cha msingi nikuwa na insurance (comprehensive cover) kuliko kuhangaika kupambana na hao watu usije kuishia...
Sintah mwenyewe anakana kwamba hajachukua mkopo Access Bank, sasa atasaidiwaje! watu hawajui kwamba mkopo sio kitu kibaya hao matajiri wenyewe wanaendelea kwa mikopo, wanatumia pesa za Mabank kujiendeleza zaidi, wabongo watuwakijua umechukua mkopo unahisi umevuliwa nguo barabarani!!!
frema 120,
Nenda hospitali umuone dr wa kinamama (gynecology), upate vipimo vyote na utashauriwa ni dawa gani yakutumia kama kweli una malaria, once u find out unamimba nivizuri kwenda kwa Dr (gynecology) kuconfirm the pregnancy napia kushauliwa way forward, mdu huu hutakiwi kunywa dawa yoyote...
inasikitisha,inahudhunisha napia niaibu kubwa sana hata kuiongelea, Dr. Masau alijitolea kutokana nauzalendo wake namapenzi yake juu ya tz ila serikali ya tanzania sujui kama kunajema wanawatakia watanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.