Recent content by kson m

  1. kson m

    Polepole apuuzwe, tuliosoma naye tulimuita Polisi/Usalama

    kuan kuandika kwenye vikaratasi gpa 4.6 na 5 haitoshi...hata debe tupu likiguswa hutoa mlio Tena mkubwa !!!
  2. kson m

    Tetesi: CCM yajipanga kumvua uanachama Humphrey Polepole

    upepo umepuliza sana.....kimbunga Gwajima...then kimbunga Polepole !?....ni kisulisuli au ?!
  3. kson m

    WHO wathibitisha pombe ni sumu. Sasa nina ujasiri wa kusema: "kunywa pombe bila kulewa ni dhambi."

    kawaambie breweries....wapo njia kuelekea njiro karibu na dampo Arusha.
  4. kson m

    CHADEMA jengo lenu la Makao Makuu litachukuliwa?!!

    wa wamemchukua mdude na soka,Mzee Kibao....nk,,,, Nini kitatuuma zaidi ?''
  5. kson m

    PreGE2025 Amos Makalla: 'No Reforms No Election' yapigwa na CHADEMA, vyama vingine na Watanzania nao hawaitaki

    k ama yeye haitaki wengine tunaitaka na tunasema NO REFORM NO ELECTION.
  6. kson m

    Waislamu washauriwa kufuga nguruwe ili kujikwamua kiuchumi

    mnaposema hafai kula....Kuna muunganiko Gani kati ya roho na utumbo ??
  7. kson m

    DC Albert Msando: Gwajima ajitokeze alipojificha aelezee umma kilichotokea

    why Gwajima? why not watekaji ??
  8. kson m

    DOKEZO Responded CHAKUHAWATA wawageuza Walimu upatu, wagawana Tsh. Milioni 400 za Wanachama

    kakemee ujambazi na ulawiti wa cwt kwa Mishahara ya walimu kwanza!!!
  9. kson m

    Tundu Lissu kuongoza Mazishi ya Derrick Magoma yatakayofanyika Manyara 12/02/2025

    msiba ni wa mwanasiasa hivyo kumuenzi kisiasa hakuepukiki !!
  10. kson m

    Luhaga Mpina: Deni la Serikali lapaa kutoka Trillion 62.4 mwaka 2021, Hadi kufikia Trillion 96.9 mwaka 2024 !!

    ni kwa ajili ya kununulia ma vieit na kujaziana posho mifukoni tu.
Back
Top Bottom