Recent content by ksny

  1. ksny

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM wanatoa wapi fedha za kununulia msululu huu wote wa Mabasi, kama sio Kodi za Wananchi ni nini?

    Ni kweli hizo pesa ni za kodi za wananchi. Hizo pesa hutolewa CCM na pia kwa vyama vya upinzani. Hii pesa kule CHADEMA ni mali za viongozi soma Mbowe.
  2. ksny

    JamiiForums Tanzania Clinical Assistant ndiyo kada gani ya afya na inasomewa wapi na muda gani?

    ACO zamani waliitwa RMA (Rural Medical Aid) wakihudumu kwenye dispensary.
  3. ksny

    JamiiForums Tanzania Hatari! Wezi kuweka Vyuma barabarani ili kufanikisha wizi, baada ya vyuma hivyo kupasua tairi za gari litakalopita

    Katika akili yako unaona tuna polisi wakutosha kuwekwa barabrani kuzuia uharibifu wa kujinga kama huo. Sote tilinde barabara zetu.
  4. ksny

    JamiiForums Tanzania Huu ndo Ushahidi wa Nchi za Magharibi zinavyotusaidia. Anayewatukana na kuwasimanga muonee huruma sana!

    Ni kweli nchi za magharibi zimekuwa zikitoa misaada, lakini hiyo missada inatolewa na msharti ambayo mwisho mnufaika mkubwa anakuwa ni mtoaji msaada. Kumbuka nchi kama Kenya ilipata uhuru 1962. Tanzania ilipata uhuru 1961. Mwaka 1962 uchumi wa Kenya ulikuwa unalingana na wa Korea ya kusini...
  5. ksny

    JamiiForums Tanzania Kuwa na vyama ambavyo havina itikadi hata moja ni shida sana. Wanabaki wanasubiri tu Rais leo anasema nini ili kukosoa

    Kuwa na itikadi ni kitu kimoja na kufuata misingi ya demokrasia ni kitu kingine. Tanzania haijafikia ambapo kuna chama chenye itikadi. Si CCM au vyama vya upinzani vina itikadi yoyote. CCM haina itikadi maana ile ya ujamaa na kujitegemea iliisha tupiliwa. Kumbuka ujamaa ulikufa na kuzikwa na...
  6. ksny

    JamiiForums Tanzania Green card lottery ni Umanamba mamboleo

    Nafikiri wewe ulienda huko kwa kuzamia. Elimu yako ilikuwa duni na uwezo wa kwenda (kiakili) shule hukuwa nao. USA ukiomba kazi wanataka high school diploma na wewe huenda ni darasa la saba. Watanzania wengi walioenda USA na elimu zao wana nafasi nzuri. Waliyo na bidii wanafanya kazi viwandani...
  7. ksny

    JamiiForums Tanzania FT: Guinea 1-2 Taifa Stars | Kufuzu AFCON 2025 | Septemba 10, 2024| Charles Konan Banny Stadium

    Kutojiamini ni kwako. Be positive. Timu ya taifa ni nzuri na mpaka sasa imeonyesha uwezo na itasonga mbele.
  8. ksny

    JamiiForums Tanzania Boniface Jacob: Rais Samia tunaomba Afande Mafwele anayetuhumiwa kumteka Sativa achunguzwe

    CCM inawategemea saana hawa watesaji. Nia ni kuwanyamazisha watu kwa kuwatia uoga. Usitegemee MAMA au kiongozi yeyote mkubwa wa CCM kuchukuwa hatua za kupunguza kasi ya utekeja na uuaji kwa sababu hii ndiyo inawapa uhakika wa kushikilia dola. Ni pale tu watu watakapochoka na utekaji na uuaji na...
  9. ksny

    JamiiForums Tanzania Sasa ni dhahiri Maandamano ya CHADEMA yanafuatiliwa na kila Mtanzania

    Kuua tena. Utamjuaje unayemua ni mwanaCCM.
  10. ksny

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani

    Mimi ni kati ya watu ambao hawapendi mada za Lissu hasa pale anapoongea na kutumia matusi hata ya nguoni. Kuachana na matusi yake, hata huyo Nnauye naye siyo msafi maana huutumia mdomo wake mchafu kutukana. Ila pia lazima tukubali kuwa Wamasai wasilazimishwe kuhama Ngorongoro. Ukweli ni...
  11. ksny

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nitumie dili niliyopewa ukweni hata kama wife ananitambia?

    Mimi naona huyu mke hakufai. Hapa duniani watu ni kusaidiana, je ingekuwa wewe ndiyo unaisadia familia yake angekuwa anatangaza. Mpe ukweli mke wako ili asikuaibishe. Kama umepata fursa huu ni wakati wa kujiendeleza ili ukirudi ujikwamue na manyanyaso!
  12. ksny

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi kuhusu kikokotoo cha mafao ya kustaafu

    Swala la pensheni ya kunchangia ni gumu saana. Nchi zilizoendelea zinatoa pension/social security kama malipo ya mwezi na hakuna malipo ya mkupuo na baadaye malipo ya mwezi. Ukiangalia TZ watu wengi hupewa pesa yote waliyochangia na pamoja ni ile ya mwajiri. Zile wanazolipwa kwa mwezi unaweza...
  13. ksny

    JamiiForums Tanzania Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Mataragio siyo Msukuma bali Mongoreme (kabila jamii ya Wakurya)
  14. ksny

    JamiiForums Tanzania Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Hebu tuambie "ni nini hakufanya". Na wewe hapo ulipo tuambie umefanya nini zaidi ya kukosoa wengine!
  15. ksny

    JamiiForums Tanzania Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

    Uliwahi kuusikia msemo "una bahati kama mtende"? Huyu Bwana ni Mtende (Watende kwa kawaida ni watu wa Mara yakijumuishwa makabila ya Wakurya, Waikizu, Wazanaki, Wangoreme, Wanatta, Waisenye, Waikoma....) Basi hii ndiyo aliyonayo bahati huyu Mtende (Mongoreme).
Back
Top Bottom