Recent content by krystiano7

  1. krystiano7

    Nini kipo nyuma ya vifo vya hawa masta, ni njama au vifo vya kawaida.?

    Mkuu jamaa si alikua anaumwa ama?
  2. krystiano7

    Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

    Halafu hizi mada sijui zinamaana gani,mtu anamuabudu mnyama si umuache akachomwe we unaumia nini😂😂😂,ndo mana nawakubal sana wahindi,nyie mnapambana na dini zenu wao hawana mbambamba ikifika siku yao wanakatisha town na ng'ombe wao,mkuu fanya kitu unachoona sahihi kwako usipambane na watu
  3. krystiano7

    Nataka nifumue ukweli kuhusu 666

    Acha uongo wewe
  4. krystiano7

    Hivi ni kweli Yesu alimtokea Nabii Mkuu physically?

    Mhhh we jamaa,siku ya mwisho si ndo kuna mambo ya kuchomana,we ulivyoenda umekuta tayari watu wanachomwa aloo,halafu swala la kuona watu weupe nalo mhh mkuu siku unaota hiyo ndoto ulikula kweli?
  5. krystiano7

    Law of attraction

    Habarini wanajamvi?Leo nilikua nataka nitoe shuhuda mbili baada ya kuapply law of attraction katika mambo mawili tofauti ambapo nilifanikiwa kwa kiasi kikubwa. A. Safari ya Serengeti Mnamo December mwaka jana nikiwa zangu nyumbani Moro nimetulia nikapata wazo la kwenda Mbuga za Serengeti ambapo...
  6. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Asante mkuu,watu wametoka shule juzi wanamoto😂😂😂
  7. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Mzee nimekuuliza swali lakini umezunguka sana,kuna vitu kibao havina explanation km hii tunayodiscus,watu wanapona na umeona watu kibao wamekiri wao au ndugu zao kupona ila naona bado unaleta maneno meengi,kuna cases ambazo hata hospital wameshindwa kutibu watu wanakimbiliaga huko na wanapona
  8. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    kwani mzee kila kitu kina explanation ya kisayansi?kuna vitu ni beyond science mzee,ishu km how did life begin unaielezeaje
  9. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Ofcourse lazima jamaa wajue tatizo ni nini,wanaombaga document ya hospital i.e xray then wanakwambia uende hata km ni Mtwara huko mwamba yupo Ukerewe Mwanza anafanya yake,na wakat anafanya anakwambia na unaona kabisa mtu km ameshika eneo linalouma anarekebisha. Hii ni dawa ya kienyeji wengi...
  10. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Watu hawaelewi vitu vingi,ila tutaendelea kuwajuza
  11. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Kama una watu Mwanza na wanacheza mpira uliza mzee, jambo la kawaida sana hilo
  12. krystiano7

    Umewahi kutibiwa mifupa kwa tiba za kienyeji?

    Habarini wanajamvi! Hivi kuna mtu ambaye ameshawahi kutibiwa kuvunjika kwa mfupa wake na mtu ambaye yupo mbali?yaani mtu unamuelezea kwamba mguu wangu umeteguka au kuvunjika halafu anaanza kuurekebisha akiwa yupo mbali na wewe ulipo, au kuna wengine unaweza ukawa upo nae karibu lakini hashiki...
  13. krystiano7

    Jipatie: Kitabu cha dua na mafanikio ya ukweli

    Nani ana feedback ya kitabu,nataka nikinunue
Back
Top Bottom