Recent content by KRISTIAN P

  1. KRISTIAN P

    Wauzaji balo za mtumba grade 1 quality

    Hao wazungu wenyewe mbona wana vaa mitumba pia tena sana.
  2. KRISTIAN P

    Jaribu haya makadilio kwa plumbing system

    Niaje mkuu naweza pata bei ya hivi vifaa hapo chini Ips pipe ½= 2 Elbow ips ½= 14 Tee ips ½= 10 Plug ½ = 12 Seal tape 10 P trap= 1 Tanjiti =1 Elbow 1½= 4 Tee 1½= 2 Plug 1½= 2 Gully trap = 2 Pipe nch4= ½
  3. KRISTIAN P

    Kisa niko nae mbali mwaka wa pili huu licha ya kuzaa nae ameamua kubeba mimba na mwanaume mwengine!

    Hakika kila jambo lina kusudio lake mkuu uenda kuna kitu Mungu amekuepusha nacho piga moyo konde tafuta pisi nyingine kali maisha ya endelee.
  4. KRISTIAN P

    Kisa niko nae mbali mwaka wa pili huu licha ya kuzaa nae ameamua kubeba mimba na mwanaume mwengine!

    Wengi wana gongewa na wapo na wenza wao kila Ni tabia tu ya mtu unaweza kua nae karibu ukampa vyote na waka kugongea tu vile vile.
  5. KRISTIAN P

    Msaada, Gharama za Ufundi, Chumba, Choo, Jiko na Sebule

    Kujenga msingi mpaka boma Chumba kimoja,sebule,jiko na choo kwa 450,000 kupaua na kupiga bati kwa 150,000 huyu fundi ana patikana wapi mkuu.!?
  6. KRISTIAN P

    Msaada wa ku renew passport nje ya Tanzania

    Hupo nchi gani kwanza tuanzie hapo.?? Hiyo pasipoti ya Tanzania ya zamani unaitumia wapi😄 Labda kama urudi kwenu mara kwa mara.
  7. KRISTIAN P

    Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

    Kigamboni Lugwadu ukiwa na Mil 2,5 mpaka mil 3 unapata kiwanja safi. Vipo vingi tu
  8. KRISTIAN P

    Nataka kujenga Kigamboni, ushauri tafadhali

    Nenda maeneo ya Lugwadu
  9. KRISTIAN P

    Nataka kununua kiwanja, ila kwanini viwanja vya Chanika ni bei rahisi hivyo?

    Acha kutisha watu tumechukua juzi Kigamboni Lugwadu biashara imeenda poa tu.
  10. KRISTIAN P

    Natafuta kiwanja Dar es Salaam, offer yangu milioni 3

    Maeneo ya Pugu Kigogo fresh unapata kiwanja kwa mil 3
  11. KRISTIAN P

    Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

    [emoji91][emoji91]
  12. KRISTIAN P

    Nauza pikipiki mpya automatic transmission bei nzuri

    Soma tangazo vzuri bei kaweka
  13. KRISTIAN P

    Ninatoa Icloud kwenye simu za Iphone

    Raphael Rapper
Back
Top Bottom