PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,517
- 13,180
Watu mnakurupuka tu sijui kusoma hamjui.......... Ina maana wewe hiyo bei hapo juu hauioni..... Unaishia kuangalia picha tu. Dah watz shida tupu

Mkuu samahani sana kwa lugha ambayo siyo ya kiuungwana kweli umeweka bei ni mimi sikuiona nisamehe!