Nauza pikipiki mpya automatic transmission bei nzuri

Nauza pikipiki mpya automatic transmission bei nzuri

Wazungu walisha sema ukitaka kumficha mwafrica kitu kiwekee kwenye maandishi,
 
Kwa nn hammalizi matangazo ya biashara zenu?mnauza au mnaturingishia?kwa nn hujaweka bei au unataka ufuatwe pm uwapige kila mtu bei yake?
Kaweka bei mbona angalia hapo juu ni m2.6
 
Just to be curious chief, mbona hizo picha mbili za mwisho zina utofauti wa exhaust?? Je ni pikipiki mbili tofauti????
 
Just to be curious chief, mbona hizo picha mbili za mwisho zina utofauti wa exhaust?? Je ni pikipiki mbili tofauti????

pikipiki ni moja kiongozi.nimeweka maelezo kuwa nimebadil exhaust kama ukisoma vizur.exhaust ilokuja na pikipik ni ile ndogo,speed na exhaust ilokuja nayo haikuwa inaniridhisha ndo mana nikaibadili na kuweka sport exhaust .kwa exhaust hiyo nilofunga boxer hachomoki mkuu😀
 
Just to be curious chief, mbona hizo picha mbili za mwisho zina utofauti wa exhaust?? Je ni pikipiki mbili tofauti????
Kwa kumsaidia kama sitakosea. Yeye si alibadili muffler. (Inaelekea huyu jamaa anapenda makelele) sasa sio wote watakao prefer. Makelele. So kuna ile exhaust ilokuja from manufacturer. Ndo iyo nyeusi. Iyo nyingine ni mtoa mada ndo alibadili.(kutokana na mapenzi yake).


My take kwa mtoa mada.


Mkuu bei iko reasonable. Na foleni zinatutesa town. Ila tatizo anko magu..... Magumashi.
 
pikipiki ni moja kiongozi.nimeweka maelezo kuwa nimebadil exhaust kama ukisoma vizur.exhaust ilokuja na pikipik ni ile ndogo,speed na exhaust ilokuja nayo haikuwa inaniridhisha ndo mana nikaibadili na kuweka sport exhaust .kwa exhaust hiyo nilofunga boxer hachomoki mkuu😀
Mimi sio fundi lakini nina swali. Mafla /exhaust ina athiri vipi speed ya chombo cha moto?

Swali lingine. Hiyo pikipiki ni brand gani?
 
Mimi sio fundi lakini nina swali. Mafla /exhaust ina athiri vipi speed ya chombo cha moto?

Swali lingine. Hiyo pikipiki ni brand gani?

mkuu sina maelezo ya kiufundi.lakin matter of fact ni kuwa speed iliongezeka nilipo badili muffler,ni ushaur nilopata sehemu nilonunua coz niliwaambia speed siikubali kabisa.kabla sijabadili muffler top speed ilikuwa 80,lakin after kubadil muffler inagusa 135
 
Kwa kumsaidia kama sitakosea. Yeye si alibadili muffler. (Inaelekea huyu jamaa anapenda makelele) sasa sio wote watakao prefer. Makelele. So kuna ile exhaust ilokuja from manufacturer. Ndo iyo nyeusi. Iyo nyingine ni mtoa mada ndo alibadili.(kutokana na mapenzi yake).


My take kwa mtoa mada.


Mkuu bei iko reasonable. Na foleni zinatutesa town. Ila tatizo anko magu..... Magumashi.

maelezo yako sahihi mkuu.
nilitaka niwaokoe na adha ya foleni,ila naona kama mnapenda tu kuchelewa kazini makusud😉😉,sababu hyo bei hutaipata mtaa wowote,nauza tu sababu alokuwa aitumie kaelekea dunia zingine😀😀
 
mkuu sina maelezo ya kiufundi.lakin matter of fact ni kuwa speed iliongezeka nilipo badili muffler,ni ushaur nilopata sehemu nilonunua coz niliwaambia speed siikubali kabisa.kabla sijabadili muffler top speed ilikuwa 80,lakin after kubadil muffler inagusa 135
Ndio asee nimegoogle ni kweli Exhaust zinaAffect peformance ya engine. Ndio maana magari ya mashindano yanakuwa na kelele.
https://www.quora.com/How-does-the-exhaust-system-affect-car-performance

Pia hiyo pikipiki ni brand ya ZNEN model RX 150 Scooter
 
Back
Top Bottom