Doh balaa!!! Tanzania hatuna sababu ya kuwa nchi maskini. Tuna vyanzo kibao vya kutuletea fedha from madini(Tanzanite,diamond,gold etc) mbuga za wanyama, bahari ,two big lakes, mountkilimanjaro, plenty of land, tuna gesi. Kinacho tufanya tuwe maskini ni kuendelea kulea watu mafisadi wasiokuwa na...