Recent content by Kraang

  1. K

    JamiiForums Tanzania Sehemu gani nzuri ya kula bata Singida

    https://www.tiktok.com/@singidashow/video/7644835658883747080
  2. K

    JamiiForums Tanzania Rubani wa F-15 wa Marekani asimulia alivyohangaika kwa saa 50 kwenye milima ya Iran

    Ndio ule uwongo wa Lone Survivor https://www.newsweek.com/afghan-who-saved-american-navy-seal-finally-rescued-taliban-299673 https://www.politico.com/news/magazine/2026/03/20/operation-red-wings-lone-survivor-luttrell-00833548...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Kuna connection gani Kati ya Mawakili wa Serikali na Mhe. Lema?

    Ukikua utajifunza kuchangia mada Unaonekana ndio umevunja ungo
  4. K

    JamiiForums Tanzania Biashara mpya Tanganyika: Majeneza used

    https://www.youtube.com/watch?v=j9V78UbdzWI
  5. K

    JamiiForums Tanzania Biashara mpya Tanganyika: Majeneza used

    https://www.youtube.com/watch?v=j9V78UbdzWI
  6. K

    JamiiForums Tanzania Biashara mpya Tanganyika: Majeneza used

    https://www.youtube.com/watch?v=j9V78UbdzWI
  7. K

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Lema jiuzulu nyadhifa zako zote CHADEMA before it's too late

    Leo heche umeshikwa pabaya, sio kwa huu mfululizo wa mada unazotoa kujitetea na kuangushia jumba bovu lema
  8. K

    JamiiForums Tanzania Hilda Newton: Kuna connection gani Kati ya Mawakili wa Serikali na Mhe. Lema?

    Leo heche umeshikwa pabaya, sio kwa huu mfululizo wa mada unazotoa kujitetea na kuangushia jumba bovu lema
  9. K

    JamiiForums Tanzania John Wegesa Heche na ndugu yake Emmanuel Chacha Heche walikwenda matibabu India kwa gharama za watu mnaowaaminisha ni wabaya

    Wamekimbia wote Ndio ujue humu kumejaa nyumbu vilaza wa chadema wanapelekwa tu Wakiona mada imewazidi akili yao ya kuvuka barabara wanaanza kutukana Leo huyu mtibeli kawatibua hasa...
  10. K

    JamiiForums Tanzania General Muhoozi Kainerugaba aitoa timu ya jeshi la Uganda kwenye michezo ya majeshi UK, baada kuombwa na Mfalme wa UK akubali kuirudisha timu

    Hiki ndicho alichokuwa anakitafuta miaka yote, kajipendekeza sana kwa Trump, ila kakaushiwa Hili kwake lilikuwa zali la mentali, sasa anajua hata baadhi ya waingereza pamoja Mwana Mfalme Henri na mke wake Megani wamejua kuna huyu kiazi duniani
  11. K

    JamiiForums Tanzania John Wegesa Heche na ndugu yake Emmanuel Chacha Heche walikwenda matibabu India kwa gharama za watu mnaowaaminisha ni wabaya

    Umeshawahi kusimamishwa mbele ya Jaji au unalopoka tu ? Hii sio mahakama ya hakimu mkazi Hapo utaulizwa chochote kukuthibisha kuwa kiapo chako kinasisima, ole wako ujichanganye na maelezo
  12. K

    JamiiForums Tanzania John Wegesa Heche na ndugu yake Emmanuel Chacha Heche walikwenda matibabu India kwa gharama za watu mnaowaaminisha ni wabaya

    Unataka kusema wameleta ushahidi wa uongo unaonyesha ana magari matano ? Una ushahidi wewe kuwa hana magari matano ?
  13. K

    JamiiForums Tanzania John Wegesa Heche na ndugu yake Emmanuel Chacha Heche walikwenda matibabu India kwa gharama za watu mnaowaaminisha ni wabaya

    Vilaza hawajui kuwa ukishawekwa kizimbani mbele ya mahakama utaulizwa mpaka kama wewe mkeo mna mgogoro na hata kama ni wa nguvu za kiume utaanikwa hapo, na haijali kosa linahusiana au halihusiani, wanataka ujiroge mwenyewe kwenye maelezo ili ushahidi wako wote uwe batili
Back
Top Bottom