Recent content by Kraang

  1. K

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Mimi sio mwanamke, na kama ni kulalamika kwenye jinsia, kwa mwanaume ni aibu Kwanza wanawake wanaupendeleo katika dunia nzima hasa kwenye mambo ya taaluma Anaweza kuwa kapata alama chini yako lakini kapasi, ila yeye atapewa upendeleo kwa kuwa ni mwanamke Sasa wewe mwanaume mzima kwanza umesomea...
  2. K

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Mbona kipindi hiki vilio vimekuwa vingi kutoka huu upande wa makondoo wa bwana Bado wanakumbuka yale maisha ya wakati wa nyerere na mkapa ya kupendelewa kwa majina, sasa hawaamini macho yao baada ya meza kupinduliwa Hizo kazi unazolalalmikia siku hizi unafanyiwa interview sio kama zamani mlikuwa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Ungana na Mimi mwamba aliye muoa Amina wa Tandale, Demu wa Ally Dreva Boda boda

    Mwanangu mwanasiti vijino kama chikichi
  4. K

    JamiiForums Tanzania Natafsiri maandishi na video ya kiingereza kwenda lugha ya kiswahili kwa bei nafuu

    Hali ngumu arif Mpotezee chalii anataka kujipata
  5. K

    JamiiForums Tanzania Natafsiri maandishi na video ya kiingereza kwenda lugha ya kiswahili kwa bei nafuu

    Lufufu mkandala the GOAT
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwa miaka hii kuendelea kutamba kwamba umezaliwa Dar es Salaam ni aina nyingine ya ushamba unaotakiwa kuachwa mara moja

    Wewe mlugaluga acha lopolopo Leta takwimu, washamba nyinyi mnajifanya mnajua kwa kuwa una kitecno, leta takwimu Hizi hapa leta na wewe upupu wako mnadanganyana huko maporini
  7. K

    JamiiForums Tanzania Wanaomtetea Magori ni wale wanaopenda Furaha za vipindi sio za milele, ni wale ambao hawaitakii simba mafanikio ya mda mrefu

    Labda tuseme ni kweli kuna tajiri kuzidi Mo anataka kuinunua, tupeni mfano kwa hii bongo na mpira wenyewe wa timu mbili, Nani atakubali kuingiza hela yake kwa Simba? Akiondoka Mo ndio kwisha habari yake inarudi kama miaka ya tisini
  8. K

    JamiiForums Tanzania Binti mwenye miaka 16 amuua mama yake mzazi kisa kuzuiliwa kwenda kwenye birthday party

    Jichanganye upitiwe na kitu chenye ncha kali
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kanisa halikupigania kabisa uhuru wa Tanganyika?

    Makanisa yote yalikuwa snitch kwa kuwa walitaka kuendelea kupokea misaada ya wazungu wakati ule hata wao walikuwa bado wagalatia kwelikweli. Wamechomea sana mipango ya kupigania uhuru, hasa migomo ya wafanya kazi Na hakukuwa na hata padri wala mchungaji wala kasisi wala askofu kwenye TAA wala...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Kuna siri napenda kuwapa ila walionipa ni waganga na imani yake na wengine imani zetu

    Ndio shida ya walugaluga wakiwa na viswaswadu
  11. K

    JamiiForums Tanzania Huyu Dada anayejiita Aminata aliyesema Baba yake ni kinana , hakutumia Akili amejiharibia sehemu kubwa sana ya Maisha yake.

    oookay kumekucha Atakuwa umemchanganya na hiyo lugha, ngoja nimstafsirie
  12. K

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka MV Bukoba basi hapa Tanzania msitake sifa hapa JF

    Wewe lazima unatokea mikoani huko maporini
Back
Top Bottom