Mimi sio mwanamke, na kama ni kulalamika kwenye jinsia, kwa mwanaume ni aibu
Kwanza wanawake wanaupendeleo katika dunia nzima hasa kwenye mambo ya taaluma
Anaweza kuwa kapata alama chini yako lakini kapasi, ila yeye atapewa upendeleo kwa kuwa ni mwanamke
Sasa wewe mwanaume mzima kwanza umesomea...
Mbona kipindi hiki vilio vimekuwa vingi kutoka huu upande wa makondoo wa bwana
Bado wanakumbuka yale maisha ya wakati wa nyerere na mkapa ya kupendelewa kwa majina, sasa hawaamini macho yao baada ya meza kupinduliwa
Hizo kazi unazolalalmikia siku hizi unafanyiwa interview sio kama zamani mlikuwa...
Wewe mlugaluga acha lopolopo
Leta takwimu, washamba nyinyi mnajifanya mnajua kwa kuwa una kitecno, leta takwimu
Hizi hapa leta na wewe upupu wako mnadanganyana huko maporini
Labda tuseme ni kweli kuna tajiri kuzidi Mo anataka kuinunua, tupeni mfano kwa hii bongo na mpira wenyewe wa timu mbili,
Nani atakubali kuingiza hela yake kwa Simba?
Akiondoka Mo ndio kwisha habari yake inarudi kama miaka ya tisini
Makanisa yote yalikuwa snitch kwa kuwa walitaka kuendelea kupokea misaada ya wazungu wakati ule hata wao walikuwa bado wagalatia kwelikweli.
Wamechomea sana mipango ya kupigania uhuru, hasa migomo ya wafanya kazi
Na hakukuwa na hata padri wala mchungaji wala kasisi wala askofu kwenye TAA wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.