Ndio ule uwongo wa Lone Survivor
https://www.newsweek.com/afghan-who-saved-american-navy-seal-finally-rescued-taliban-299673
https://www.politico.com/news/magazine/2026/03/20/operation-red-wings-lone-survivor-luttrell-00833548...
Wamekimbia wote
Ndio ujue humu kumejaa nyumbu vilaza wa chadema wanapelekwa tu
Wakiona mada imewazidi akili yao ya kuvuka barabara wanaanza kutukana
Leo huyu mtibeli kawatibua hasa...
Hiki ndicho alichokuwa anakitafuta miaka yote, kajipendekeza sana kwa Trump, ila kakaushiwa
Hili kwake lilikuwa zali la mentali, sasa anajua hata baadhi ya waingereza pamoja Mwana Mfalme Henri na mke wake Megani wamejua kuna huyu kiazi duniani
Umeshawahi kusimamishwa mbele ya Jaji au unalopoka tu ?
Hii sio mahakama ya hakimu mkazi
Hapo utaulizwa chochote kukuthibisha kuwa kiapo chako kinasisima, ole wako ujichanganye na maelezo
Vilaza hawajui kuwa ukishawekwa kizimbani mbele ya mahakama utaulizwa mpaka kama wewe mkeo mna mgogoro na hata kama ni wa nguvu za kiume utaanikwa hapo, na haijali kosa linahusiana au halihusiani, wanataka ujiroge mwenyewe kwenye maelezo ili ushahidi wako wote uwe batili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.