Hahaaaaaa... Hiyo hapana... Tukiagiza kile kitu chetu pendwa, ww unakaa kwenye stool ndefu mm nakaa kwenye kiti cha plastic. Halafu tunatazamana.. Hapo nitakuwa nimejua kama ipo au haipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ww ni noouumaaa!!!! Itabidi nije nikuone kama ni kweli huvai. Nipo hapa Mamboleo njiapanda ya Uru mnini na Kishumundu miss
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama ni mwanachama wa chadema basi umejiunga na chama hicho Jana jioni kuamkia Leo..... Kama vinginevyo kachukue buku7 ile mitaa yetu pendwa... Hujui misingi ya chama wala katiba ya chama huijui.... Yaani upoupo tuu hujielewi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatupeleka kolomije ndugu... Mwenzenu nimeshashuka pale tulipokuwa tunajaza mafuta.maana Lori liliishiwa mafuta. Hivi nasubiri Bodaboda inikimbize home. Kama ww hukushuka subiri kwenye mataa ila usimwambie kama unashuka.wee ruka tuu ila kama unamzigo ndo basi tena.chagua moja mzigo ubaki au...
Ni hakika kabisa wewe mleta maada upo jikoni... Kumbe seif anawaumiza kichwa namna hiyo!!!!. Lepropesa muda wa kuishi Kwa hakika ni mdogo sana. Kwa mpango ulionao dhidi ya wapiga kura waliyowengi kama wakipiga goti Kwa Mungu wakamlilia, amini usiamini Mungu wao atawasikia na atawajibu tena Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.