Hata kinana wakati katibu mkuu wa chama alishatamka kuwa kunamawaziri wengine ni mzigo anatofauti ipi na makonda elewa matamko ya makonda ni matamko ya chama hii ni siasa
Hii dunia ina watu mamilion hawalingani kama vidole vya fingerprint. kila kidole kinaaalama zake
na akili ni hivyohivyo
Akili zake ndo zilvyo acha ajifurahishe,awafaruhishe,na wenye kukereka,wakerekae na waku puuza wapuuze..
lenye mwanzo na mwisho upo
yataisha yatukuja mengine...
Uelewa ndo tatizo kuwa na dini au kuongoza dini hakukufanyi kutokuwa mwanasiasa, Ila uongelee sehem yake na siasa uongelee sehem yake,haiwezekani upo jukwaani uhubiri dini na upo kanisani au msikitini uzungumzie siasa
Lisu ni mwanaseria mjanja na muona mbele, na anajua baadhi ya matamko ya makosa, hat ile kesi ya bandari Lisu alijua nini ukweli wa kesi kisheria ndoma hakujiingiaza katika utetezi aliamua kusema majukwaani kisiasa zaid.
Tundu wa kumzoe tu
Alizanza na mwalim Nyerere kusema kuwa alikua akitawala kiujanjaujanja
Leo Mkapa juzi ilee alikua Lowasa
akaja kwa Magu
leo Mama raisi Samia
Baadae atanza kwasamea kwa mazuri na kusahau yote ya nyuma
ni mtu kama vichekesho hasimami na jambo moja kama hapana iwe hapana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.