Recent content by koway

  1. K

    Naombeni mnifundishe mapenzi, sitaki kuumizwa tena

    Wewe unatakaje hela zake wakati hata mwenzi hauja isha? Tatzo wanawake ni wa binafsi sana, unataka kula bila kuliwa. Acha hizo habari, by the way maisha hayana formula kwasabu watu tuna tofautiana na mahitaji yana tofautiana. Pia inategemea wewe unajiwekaje kwa hao wanaume, kama unatanguliza...
  2. K

    Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

    Nywele vipi hawaweki dawa? Vipi mawigi?
  3. K

    Tabia nilizozishuhudia kwa baadhi ya wanaume wa Dar

    Haya tumewaacha hatuta wasema tena
  4. K

    Ushauri: Njia ya kuacha kuwafanya wanawake kinyume na maumbile

    Wakija kumfanyio hvyo mkeo utajisikiaje? Kama ukijisikia uchungu basi hakuna namna ni wewe kuamua kuwa sasa na acha, pia achanan na hayo mawazo ya kijinga
  5. K

    Samuel Sitta: Kama Tanganyika tukikosana na Zanzibar, tunawazimia tu umeme

    Kukosa shule hii ya kidunia mda mwingine ni shida sana, pia kuendekrza njaa na kutopenda kufanya kazi ni janga lingine
  6. K

    Jerry Muro amtusi tena Haji Manara

    Halafu,hivi timu za ulaya zina wasemaji? Au na sisi tumejiongeza kuweka hiki kitengo?
  7. K

    Samuel Sitta: Kama Tanganyika tukikosana na Zanzibar, tunawazimia tu umeme

    Kwa lugha nyingine viongozi wanajua kuwa waislam wanakandamizwa ili nchi iwe na amani
  8. K

    Mhindi aliambiwa amalizie methali za Kiswahili

    Simba mwenda pole- hufungwa na yanga
  9. K

    Dr. Rajabu Rutengwe, Mkuu wa mkoa wa Morogoro aliyetemwa, amwangukia Rais

    Hiyo ni kauli kwa vija, ya wazee itstilewa pia
  10. K

    Dr. Rajabu Rutengwe, Mkuu wa mkoa wa Morogoro aliyetemwa, amwangukia Rais

    Mm nilidhani wewe ni miongoni mwawatu wanao fahamu
  11. K

    Monduli: Walimu wanne wahamishwa kwa sababu za kisiasa

    Wewe mwenyewe ni jipu, unalala saizi badala ya kufanya kazi
Back
Top Bottom