Wewe unatakaje hela zake wakati hata mwenzi hauja isha? Tatzo wanawake ni wa binafsi sana, unataka kula bila kuliwa. Acha hizo habari, by the way maisha hayana formula kwasabu watu tuna tofautiana na mahitaji yana tofautiana. Pia inategemea wewe unajiwekaje kwa hao wanaume, kama unatanguliza...
Wakija kumfanyio hvyo mkeo utajisikiaje? Kama ukijisikia uchungu basi hakuna namna ni wewe kuamua kuwa sasa na acha, pia achanan na hayo mawazo ya kijinga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.