Recent content by korokwincho

  1. K

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    ndo ujue kuwa hii ni chai aiseee[emoji16]
  2. K

    Kwa bajeti ya 250k mpaka 270k simu gani nzuri nichukue?

    yaani hapa hta ie yenye sd 870 ama sd 8 gen 1 nazo vimeo sio??
  3. K

    Kwa bajeti ya 250k mpaka 270k simu gani nzuri nichukue?

    asante kwa maelezo vipi hpa siwez kuishi??
  4. K

    Kwa bajeti ya 250k mpaka 270k simu gani nzuri nichukue?

    hii turbo ina esim?? halafu ina tofauti gani na redmi note 13 pro?? nina 600k cash nataka simu used yenye 1. kukaa na charge sanaa 2. camera kali 3. kioo kizuri 4. storage 256gb+ 5.better performance 6. esim
  5. K

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    fanya mchanganyo wa hugo boss+vanilla utanikumbuka.
  6. K

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    hii Sony gtrl series , niliona Lee audio anazirecommend sana kwa home usee
  7. K

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    fanyeni mixer ya Strawberry +hugo boss ni hatar sanaaaaa
  8. K

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    hyo airtel yko ya 10mbps unlimited unaweza stream 4k videos YouTube bila shida?
  9. K

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    hii percival ikoje? nishasikiaga tu sifa zake
  10. K

    Kodtec Speaker systems

    deep na tight kuanzia 30hz kushuka chini hta 35hz nayo sio haba ukutane na vinu vinaenda hadi 16hz ni balaaa
  11. K

    Kodtec Speaker systems

    mamaeeeeeeeeeeeeeee
  12. K

    Kodtec Speaker systems

    ukute wameunga na speaker la gari tena hta JBL ile fake cha watts 300, kanapiga balaaa
  13. K

    Kodtec Speaker systems

    shukrani mkuu hapo natafuta amp ya maana na big subwoofer ya watts 1000+ rms nafunga huu ukurasa
  14. K

    Kodtec Speaker systems

    kodtec nishaitoa, Niko na hyo mizigo
Back
Top Bottom