Nimependa andiko lako...sahihisho kidogo "Tanzania hatupaswi kuangalia tulipoangukia bali tulipojikwaa"
Huwezi kuanguka km haujajikwaa hivyo lzm tuangalie tumejikwaa wapi, tumejikwaa kwenye mikataba na sheria mbovu
Mkuu sasa mbona uko jukwaa la siasa km siasa haufanyi? Ilibidi uwe jukwaa la mapenzi maana hakuna binadamu asiyependa
Mtoa post namsapoti kwenye mada yake kuwa fedha zitumike kulingana na sheria ya fedha iliyotungwa na bunge kwa bajeti husika hili hata CAG aliona, tutafanyaje ukaguzi na udgibiti...
Tujaribu kuangalia mlolongo wakiutendaji hamna namna ambavyo hawa viongozi wa juu wasihusike ama mmoja kwa mmoja au kwa kutoa ushahidi kuwa hawa wanaotuhumiwa walitumia waledi wao vibaya katika kishauri viongozi wa juu bila kuzingatia maslahi ya Taifa...
Chenge aliwahi kusema "visenti" ukijaribu kuangalia kwa kina hili neno "visenti" katika sentensi zake, hakuwa na maana hela hiyo ni kidogo bali ni kidogo saaana ukilinganisha na kile ambacho walioko juu yake wanapiga kupitia hiyo mikataba...ukimsikiliza Lowasa vizuri utaelewa kuwa Chenge alikuwa...
Kazi ya Lissu nikuendelea kutia shaka katika dhamira ya mkulu ktk hii ishu ya mchanga, kama ilivyo kazi ya wakili kutia shaka juu ya ushahidi unaoletwa...kwa mtazamo wangu Lissu anaifanya hii kazi vyema kuendelea kutia shaka juhudi za mkuu...km mnakumbuka Lissu alisema tuibiwa kwenye sheria na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.