James marongo
Member
- Jun 14, 2017
- 7
- 3
Nikabie mzee mpaka kieweke
Anahojiwa ili iweje?! Waliosimamia mikataba hamtaki hata majina yao kutajwa hadharani!!. Hapo kina Chenge hawana kesi vinginevyo itakuwa kama ya Mramba & Yona kufagia hospital kwa siku 2 na camera juu. Process hiyo ilipitia hatua zote likiwemo baraza la mawaziri na Maghufuli anajua hili.Msukuma wala asihangaike, hilo zee lililopo Bungeni lenye kiburi cha ufisadi litahojiwa iwe linataka au halitaki. Awamu Hii siyo sawa na zile zilizopita akidhani kuna watu wanamuogopa.
Mhalifu yoyote hawezi kufikishwa Court pasipo kupitia hatua za kipelelezi ambazo zinahusisha mahojiano pia. Kwa hiyo, hilo zee liache lijifariji tu.
msukuma hana hela yule,au ile helcopter aliyokodiwa na lowasa kwa wiki moja atembee nayo msukuma ndo inakuchanganya nini?,Kwamba ukitaka kumpaka shombo mtu, unampa musukuma hela ya supu ya kongoro basi kishamaliza kazi???Huwezi kua serious mkuu! Ivi unajua hao watu waliotajwa kuhusika ni mmoja tu Ndo anamzidi musukuma kipato??
msukuma hana hela yule,au ile helcopter aliyokodiwa na lowasa kwa wiki moja atembee nayo msukuma ndo inakuchanganya nini?,Kwamba ukitaka kumpaka shombo mtu, unampa musukuma hela ya supu ya kongoro basi kishamaliza kazi???Huwezi kua serious mkuu! Ivi unajua hao watu waliotajwa kuhusika ni mmoja tu Ndo anamzidi musukuma kipato??
msukuma hana hela yule,au ile helcopter aliyokodiwa na lowasa kwa wiki moja atembee nayo msukuma ndo inakuchanganya nini?,Kwamba ukitaka kumpaka shombo mtu, unampa musukuma hela ya supu ya kongoro basi kishamaliza kazi???Huwezi kua serious mkuu! Ivi unajua hao watu waliotajwa kuhusika ni mmoja tu Ndo anamzidi musukuma kipato??
Usafi wa kufungia magazeti yanayoongea ukweli ?Ili uwe safi ni vema ukaanza kufagia uchafu ndani mwako ndio uende kwa jirani. Na hivyo nduvyo CCM inachokifanya awamu hii. Tusubiri na wale wa upande wa pili tuone na wao km watathubutu.
walikushirikisha kufungua accounts zao za bank ?Kwamba ukitaka kumpaka shombo mtu, unampa musukuma hela ya supu ya kongoro basi kishamaliza kazi???Huwezi kua serious mkuu! Ivi unajua hao watu waliotajwa kuhusika ni mmoja tu Ndo anamzidi musukuma kipato??
soma katiba ya nchiUsafi wa kufungia magazeti yanayoongea ukweli ?
Acha kujitoa ufahamuMwanasheria anashauriwa na rais? Yye ndo alitakiwa amshauri rais
Ndio maana tunataka katiba mpya. Kwa katiba iliyopo tutakuwa tunatangwa maji kwenye kinu.soma katiba ya nchi
Kwa Tanzania Rais ni kila kitu angalia hata sasaMwanasheria anashauriwa na rais? Yye ndo alitakiwa amshauri rais
until then, but now sheria itawahusu hao tu. Mwenye busara angejiuzulu kwa kukataa kusain asichokiamini ni maslahi ya umma lkn hakuna aliefanya hivyo that means wao ndio waliowapotosha maboss waoNdio maana tunataka katiba mpya. Kwa katiba iliyopo tutakuwa tunatangwa maji kwenye kinu.