Maana yake ni kwamba, mwanamme ukifanikiwa lazima mwanamke aje. Mwanamke anakuja baada ya mafanikio siyo kabla ya mafanikio. Mwanamke hawezi kukufanya ufanikiwe hata siku moja.
Mwanamke anapenda mwanamme aliyefanikiwa tuu.
Uko sahihi.
Tatizo Dunia imehatibiwa na kirusi kuoa/ndoa. Mwanaume unapaswa focus Yako iwe katika kuongeza uzao wako.
Kama una uwezo wa kuwahudumia wanawake, zaa nao kadri uwezavyo.
Hivyo ni visababu vyenu ili kujastify uhuni wenu.
Kuwa na wapenzi wengi hakuna sababu ya kukosa mpenzi mwenye Hela au kuwa na mpenzi usiyempenda Bali ni hulka ya umalaya wenu.
Hapo kwenye simu Yako una backup za kutosha, tiyari unajua nani anafuata baada ya uliyenaye.
Hii ni moja kati ya verse zenu za uongo.
Huna tofauti na wenzako wasemao "ooo mimi Nina marafiki wengi wa kiume, marafiki wa kike ni wabinafsi na wambea"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.