Recent content by Kontoro

  1. K

    Msongo wa mawazo unataka kuniua, ndoa yangu imekuwa kiama changu

    Vunja ndoa yako jamaa wanaokupa kiburi wakukimbie.
  2. K

    Wanawake kama hawa, sahau kufanikiwa

    Maana yake ni kwamba, mwanamme ukifanikiwa lazima mwanamke aje. Mwanamke anakuja baada ya mafanikio siyo kabla ya mafanikio. Mwanamke hawezi kukufanya ufanikiwe hata siku moja. Mwanamke anapenda mwanamme aliyefanikiwa tuu.
  3. K

    Kijana ufahamu usimpe na madhara yake ili ujiepushe

    Simpe iwe ni neno la kiswahili lenye maana ya simp. Limekaa poa
  4. K

    Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

    Makosa madogo madogo huwa hatujali. Mpe papa maisha yaendelee.
  5. K

    Kuna mahali nimeharibu vibaya mno :( , sijui nifanyaje?

    Wanaume huwa hatusamei tukivunjiwa heshima.
  6. K

    Nimfanyie Nini huyu Mwanamke?

    Kosa utakalo lifanya ni kumuoa huyo mwanamke aliyetoa mimba Yako.
  7. K

    Mimi nimeoa but nina michepuko miwili tu, naombeni mawazo yenu

    Uko sahihi. Tatizo Dunia imehatibiwa na kirusi kuoa/ndoa. Mwanaume unapaswa focus Yako iwe katika kuongeza uzao wako. Kama una uwezo wa kuwahudumia wanawake, zaa nao kadri uwezavyo.
  8. K

    Je, unajua kwamba huyo mke/mme uliye naye sasa sio wako?

    Hiki kitabu chako hakina miaka 200 toka kitungwe na wahuni. Inamaana miaka zaidi ya million ambayo binadamu kaishi duniani alikuwa haoi wala kuolewa?
  9. K

    Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    Wanawake wenzako wakubaliane na wewe, ila mimi mwanamme siwezi kubali hizo sababu zako.
  10. K

    Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    Hivyo ni visababu vyenu ili kujastify uhuni wenu. Kuwa na wapenzi wengi hakuna sababu ya kukosa mpenzi mwenye Hela au kuwa na mpenzi usiyempenda Bali ni hulka ya umalaya wenu. Hapo kwenye simu Yako una backup za kutosha, tiyari unajua nani anafuata baada ya uliyenaye.
  11. K

    Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    Hii ni moja kati ya verse zenu za uongo. Huna tofauti na wenzako wasemao "ooo mimi Nina marafiki wengi wa kiume, marafiki wa kike ni wabinafsi na wambea"
  12. K

    Kinacho waponza Lissu na Chadema ni kutokujua hesabu. Nashauri Lissu ukitoka ndani rudi darasani ukasome upya hesabu

    Hizo hesabu za solving amicably alikuwa anazitumia mbowe ila hakufua dafu. Hesabu ya lissu inaenda kuleta matokeo chanya.
  13. K

    Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

    Ukioa mwanamke asiye bikra, % ya kuwa cheated ni kubwa mno. Cheating kwa mwanamke ni kuzika familia yake na ni point of no return. Kijana OA bikra.
Back
Top Bottom