Recent content by Konte

  1. Konte

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Kitombile hapo juu amesema pesa za huo ujenzi hazipo kwenye hiyo bajeti kana kwamba bajeti tajwa ipo tayari.
  2. Konte

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Unamaanisha bajeti ya 2024/2025 ipo tayari?
  3. Konte

    Hapokei simu zangu siku ya nne hii tangu asafiri kikazi

    Simba la masimba Dangote[emoji445]
  4. Konte

    BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

    Mmiliki wa gari lolote lile liwe la Ulaya au la Japan anaweza kushindwa kumudu gharama za matengenezo na kulitelekeza garage. Idadi ya magari ya mjapani yaliyotelekezwa kwenye magarage ni mengi mno ukilinganisha na idadi ya magari ya Ulaya yaliyotelekezwa. Wote tunachemka.
  5. Konte

    Mnaomiliki au wenye ujuzi na Gari la Volkswagen Touareg nawaomba

    Fundi amesema mafuta ambayo siyo machafu yanapatikana kwenye vituo gani vya mafuta? Au hakuna kabisa mafuta yasiyo machafu nchini?
  6. Konte

    Kila nikilala nae tu, kesho yake napigiwa simu ya dili la hela

    Usipolala na huyo mwanamke huwa haupati kabisa madili ya pesa? Pengine hakuna uhusiano wowote kati ya madili unayopata na huyo mwanamke. Wewe tu ndo unaconnect.
  7. Konte

    Swali fikirishi: Utafanyeje ukijikuta kwenye hii hali?

    Nampigia jirani namwambia aje nyumbani mara moja.
  8. Konte

    Sri Lanka yaishiwa mafuta ya petroli

    Kuongezeka kwa usambazaji wa pesa kwa kawaida hupunguza viwango vya riba kitu ambacho huweka pesa zaidi mikononi mwa watumiaji, na hivyo kuchochea matumizi zaidi. Mahitaji/matumizi yakiwa makubwa kuliko uzalishaji, mfumuko wa bei utazidi kuongezea maradufu.
  9. Konte

    Sri Lanka yaishiwa mafuta ya petroli

    Ukiachana na issue ya petrol Nchi imefirisika imeshindwa hata kulipa mishahara ya watumishi wa umma, serikali imelazimika kuprint pesa kwa ajili ya kuwalipa wafanyakazi, kitu ambacho ni hatari zaidi kwenye uchumi.
Back
Top Bottom