Mm pia najiulizaga sana kwanini wasijenge bonge la chuo au kama ni hivo chuo likiwa mwanza bad iwe ni mwanza univeslrsity na sio tawi la udsm,,, ukipata jibu la swali lako nitag
Mm ndugu yangu siku hizi nmeamua kukaa na kutulia TU kuangalia mambo ya hovyo nchini Kuna masoko dar ya mabilioni ila hayana watu na bado wanajengewa TU tena complex kubwa wakat huo majiji mengine hatuna, sisi hapa mwanza Kuna maeneo tunavuka Barabara roho mkononi yaan unasubil muwe group ndo...
Hii haiwez husisha dar na mwz maana ni majiji makubwa na Yako smart but Ina deal mi majiji madogo kama Arusha,dodoma tena Kwa mbeya wangeongeza bajeti mbeya Ina Hali mbaya sana,, sewage system, at magar ya taka hayapit kuchukua taka zinanuka,,mpangilio hovyo usipokuw makin unakosa pakutokea...
Hii niliwahi kusema mwanza vikao vikubwa hufanyika lakin tunaona normal kabisa hat watu wa arusha vikao vinafanuika wanaona Norma tatizo lipo Kwa hili senge la NJOMBE linapost adi viazi vya kuchoma yaan Kila kitu linaona ni fantastic sjui Kwa kuwa vitu kama hivo kusini hamna na mambo yalichelewa...
IFM, now wanatoka rock city mall wanaenda kupanga bwiru pale chuo Cha mipango kilipokuwa kimepanga,,wanafanya hivo huku wakisubili ujenzi wa chuo Chao kukamilka
Kod ni muhimu sema tunaonaga kama tunaonewa ila nchi yoyote inategemea Kodi,,Kuna nchi at ukimilki tv unalipia kodi vipi ikija hapa bongo sjui kelele zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.